Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madee atoa sababu ya kubadili ratiba ya ujio mpya wa Dogo Janja

Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Madee ambaye aliwaahidi mashabiki wa kundi hilo kuwa Dogo Janja ataachia wimbo hivi karibuni, amedai ameahirisha mpango huo kutokana na kuingiliana kwa ratiba nyingine. Akizungumza na Bongo5 leo, Madee amesema imelazimika Dogo Janja asubiri kwakuwa kuna wimbo aliofanya akiwa na Chege na Temba Afrika Kusini unayohitajika kutoka mapema […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Video: Madee azungumzia sababu iliyofanya amsamehe Dogo Janja

Hivi karibuni, Tip Top Connection iliamua kumrejesha tena kundini mwana mpotevu, Dogo Janja aliyeondoka mwaka 2012 baada ya kushindwa kuelewana na Madee. Dogo Janja aliongea maneno mengi yaliyomfanya Madee aonekane mtu mbaya jambo ambalo lilimchukua muda mrefu Madee kurudisha tena moyo wake kwa rapper huyo wa Arusha. Madee ameiambia Bongo5 kuwa kabla ya kukubali arejee […]

 

9 years ago

Bongo5

Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa

Madee amesema hajalitupilia mbali suala la kumrudisha Dogo Janja shule. Hata hivyo amesema anachoangalia kwa sasa ni ujio wa ngoma yake [Dogo Janja] mpya. “Sitaki kusema eti nimeamua kukauka moja kwa moja asirudi shule,” alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio wiki hii. “Vipo vingi ambavyo sasa hivi anaviongelea, ambavyo vipo kwenye plan, lakini […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake

Dogo Janja a.k.a Janjaro amezawadiwa gari katika siku ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Sept 15. Zawadi hiyo ya gari imetoka kwa Madee ambaye ndiye mlezi wake kimuziki kwa muda mrefu. Dogo Janja ambaye sasa amefikisha miaka 21 ameshare picha Instagramakikabidhiwa gari hiyo. “Muwakilishi Wa Mshua Alikuwa @dicksound1 Tajiri Yangu,Moja Ya Watu Wa Karibu […]

 

10 years ago

CloudsFM

DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE

Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Mbishi atoa sababu za kubadili uamuzi wa kuacha muziki, kutoa wimbo mpya March 4

Rapper Nikki Mbishi ambaye aliuanza mwaka 2015 kwa kufanya uamuzi uliowashtua mashabiki wengi wa Hip Hop baada ya kutangaza kuacha muziki, ametangaza kuachia ngoma mpya wiki ijayo. Baada ya kuulizwa sababu zilizomfanya abadili uamuzi wake na kuendelea kufanya muziki hizi ndio sababu alizozitoa, “Nimegundua kwamba bado watu wananidai vitu vingi sana ngoja kwanza labda nimalizane […]

 

10 years ago

Bongo5

Audio: Hutaamini ukiisikia sababu iliyomfanya Dogo Janja aache shule!

Rapper kutoka Arusha, Dogo Janja ameamua kuacha shule ili kusomea masomo ya muziki. Akiongea na 255 ya kipindi cha XXL cha Clouds FM, Janjaro amedai kuwa usumbufualiokuwa akiupata shuleni ndio sababu kubwa iliyomfanya aache shule. “Shule ambayo mimi nimesoma nilikuwa napata matatizo kwasababu kitu kidogo ambacho mnaweza mkafanya wote lakini wewe ukaonekana chanzo. ‘Msanii mhuni, […]

 

11 years ago

GPL

DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI

 Na Gladness Mallya MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ (19) amewataka watu wanaomsema vibaya kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi wamuache kwani anaonesha urijali wake. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ (19). Akistorisha na paparazi wetu, Dogo Janja alisema tangu aliponaswa akiwa na demu wake amekuwa akisikia maneno ya kila aina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...

 

11 years ago

GPL

DOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU

Abdulaziz Chende 'Dogo Janja' kutoka Ngarenaro. ABDULAZIZ Chende ndilo jina lake halisi alilokuja nalo jijini Dar es Salaam akitokea Ngarenaro, kule mjini Arusha, lakini wajanja wa mjini wakambatiza kama Dogo Janja, ambalo kwa kweli limemkaa vyema. Ni bwana mdogo kweli, siyo tu kwa umri, bali hata sanaa aliyoichagua. Ni kijana ambaye kwa jinsi watoto wa Dot.com walivyo, alistahili kuwa kidato cha kwanza, pili au hata cha tatu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani