Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa
Madee amesema hajalitupilia mbali suala la kumrudisha Dogo Janja shule. Hata hivyo amesema anachoangalia kwa sasa ni ujio wa ngoma yake [Dogo Janja] mpya. “Sitaki kusema eti nimeamua kukauka moja kwa moja asirudi shule,” alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio wiki hii. “Vipo vingi ambavyo sasa hivi anaviongelea, ambavyo vipo kwenye plan, lakini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo518 Jul
Video: Madee azungumzia sababu iliyofanya amsamehe Dogo Janja
10 years ago
Bongo527 Dec
Madee atoa sababu ya kubadili ratiba ya ujio mpya wa Dogo Janja
9 years ago
Bongo516 Sep
Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake
11 years ago
CloudsFM13 Aug
DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
11 years ago
Bongo513 Aug
Audio: Hutaamini ukiisikia sababu iliyomfanya Dogo Janja aache shule!
11 years ago
GPLDOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
9 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja