DIAMOND AMZAWADIA MAMA YAKE GARI LA MILIONI 38
![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsDIU8Y-KN*Ib8Si8M1xmpAxTUtUoxUvhYBpteKZ9no1sCyxFDwrJgNpub9tKdjaL4GkT5VnWiqXfqBEynvrqrV/gari.jpg?width=650)
Toyota Lexus New Model yenye thamani ya milioni 38.1 aliyozawadiwa mama Diamond na mwanaye. Muonekano wa gari hilo kwa nyuma. STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' amefanya kufuru kwa kumzawadia gari mama yake mzazi, Sanura Kassim 'Sandra'. Diamond amemzawadia gari mama yake wakati wa bethidei ya kutimiza miaka 55 hapo jana katika hafla iliyohudhuriwa na mastaa kibao. Gari… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM29 Sep
DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Queen-Darleen-Birthday-1.jpg?width=650)
DIAMOND AMZAWADIA GARI QUEEN DARLEEN
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
9 years ago
Bongo516 Sep
Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mwana FA amzawadia gari Meneja wa Dimpoz
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, amemzawadia gari aina ya Opha yenye thamani ya sh milioni 12, Meneja wa mkali wa muziki wa kizazi kipya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgJIXYLYOfNr6QbtLLQx7PJdkEqL4XqKl5JVXZpbVH-qsaS0kkPjCuiuE0C626rdLfj84CHDthKgKZalvFAb*jw/AJALI1.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOOMBOLEZA KIFO CHA MAMA YAKE ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ARUSHA
10 years ago
Habarileo31 Oct
Bulembo amzawadia milioni 1/- aliyefanya vizuri kidato cha sita
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amemzawadia Sh milioni 1, Idrisa Hamis baada ya kuwa mmoja kati ya wanafunzi 10 waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu.