Mwana FA amzawadia gari Meneja wa Dimpoz
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, amemzawadia gari aina ya Opha yenye thamani ya sh milioni 12, Meneja wa mkali wa muziki wa kizazi kipya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Queen-Darleen-Birthday-1.jpg?width=650)
DIAMOND AMZAWADIA GARI QUEEN DARLEEN
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsDIU8Y-KN*Ib8Si8M1xmpAxTUtUoxUvhYBpteKZ9no1sCyxFDwrJgNpub9tKdjaL4GkT5VnWiqXfqBEynvrqrV/gari.jpg?width=650)
DIAMOND AMZAWADIA MAMA YAKE GARI LA MILIONI 38
10 years ago
CloudsFM29 Sep
DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.
9 years ago
Bongo516 Sep
Picha: Madee amzawadia Dogo Janja gari kwenye birthday yake
9 years ago
Bongo521 Dec
Ommy Dimpoz ana nyimbo za albamu tatu ndani – Meneja
![Ommy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ommy-1-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz ana nyimbo nyingi ndani zinazoweza kufikisha takriban albamu tatu.
Akizungumza na Bongo5 Jumamosi iliyopita kwenye uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya, Achia Body, meneja wake, Mubenga, alisema mpaka sasa tayari wamesharekodi nyimbo nyingi ambazo zinasubiri muda wake tu.
“Sisi hatupaniki, tunaangalia target zetu kwenye muziki,” alisema. “Tunajiuliza sasa hivi inafaa kutoa ngoma? Kwa sababu ngoma tunazo, Ommy ana nyimbo kama albamu tatu, zingine hadi mimi nimeshazizoea naziona....
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Wananchi Moshi washambulia gari la kampeni meneja
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.
Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.
Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDKeFsq8XenAYHfn-Bp7IwgfIRe2ViFkA9gccC8TiSZ2lfjUIxfTF4rJAJVxxmKAJ6XJjsolW6YiLsc6V8k6wSuC/MURANO2.jpg)
DIAMOND AMZAWADIA WEMA MURANO