Wananchi Moshi washambulia gari la kampeni meneja
Gari la mmoja wa makampeni meneja wa mgombea ubunge Jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya CCM, Dk. Cyrill Chami, limeshambuliwa na kuharibiwa vibaya na wananchi wakilishuku kuwa na kura bandia
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mwana FA amzawadia gari Meneja wa Dimpoz
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, amemzawadia gari aina ya Opha yenye thamani ya sh milioni 12, Meneja wa mkali wa muziki wa kizazi kipya...
5 years ago
CCM BlogALIYEKUWA MENEJA KAMPENI WA MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS CHADEMA ATIMKIA CCM
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati nyingi...
10 years ago
VijimamboNASSOR AHMED MAZRUI NDIYE MENEJA WA KAMPENI ZA URAIS WA ZANZIBAR 2015 WA MAALIM SEIF
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s72-c/unnamed+(62).jpg)
News Alert: Ajali ya gari la mizigo barabara ya Arusha/Moshi leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1oWk3HrhW4M/UwSUoF3ywtI/AAAAAAAFN9Y/xZwlCzzaAHQ/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-o9InGcd2I-U/UwSUoajsjgI/AAAAAAAFN9I/aqaczu-TTY8/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q4Cilx7kRA0/UwSUpQNGtgI/AAAAAAAFN9w/8pPtvV4QarI/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2223yZIX1-s/UwSUpRaRAnI/AAAAAAAFN9g/3tgXHvbqBzE/s1600/unnamed+(68).jpg)
10 years ago
Habarileo08 Sep
NBC wazindua kampeni wateja kushinda gari
BENKI ya NBC imezindua kampeni inawowapa wateja wa benki hiyo nafasi ya kuweka akiba na kujishindia gari aina ya Nissan Double Cabin Pick up.
11 years ago
MichuziWANANCHI KUNUNUA MAFUTA YA GARI KUPITIA M PESA
9 years ago
MichuziBenki ya Exim yakabidhi gari kwa mshindi wa kampeni yake ya akaunti ya malengo
Benki ya Exim Tanzania imekabidhi zawadi kuu kwa...
11 years ago
MichuziBenki ya NBC yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya Weka Upewe