Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo Music kuachia single mpya ‘Skendo’ kwenye birthday yake Nov.14

Mo Music skendo

Msanii aliyewashtua mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kwa single yake ya kwanza ‘Basi Nenda’ mwaka jana, ambayo ilikuja kuwa kama ‘wimbo wa taifa’ kwa jinsi ilivyokubalika, Mo Music anarudi na single mpya iitwayo ‘Skendo’.

Mo Music skendo

Novemba 14 ni birthday ya mwimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Moshi Katemi kutoka Mwanza, na ndio ameichagua kuwa siku ya kuiachia single hiyo ya tano baada ya ‘Nitazoea’.

‘Skendo’ imeandikwa na kutayarishwa na producer Lollipop ambaye ndiye aliyehusika na uandishi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MO MUSIC ASHEREHEKEA ‘BIRTHDAY’ NA KUACHIA NGOMA MPYA

Mo Music akifungua shampeni baada ya kubadilisha nguo alizoloweshwa alipomwagiwa maji. Mo Music akimlisha keki mkali wa Bongo Fleva, Heri Samiry ‘Mr. Blue’ (kulia). Mo Music akimlisha keki msanii wa muziki Bongo, Ally Timbulo (kulia).…

 

9 years ago

Bongo5

Mo Music apanga kumtumia Lulu kwenye video yake mpya

mo music

Hitmaker wa Basi Nenda, Mo Music amesema anajipanga kufanya mazungumzo na muigizaji Elizabeth ‘Lulu’ Michael ili awe mrembo kwenye video yake inayokuja.

mo music

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa Lulu ni muigizaji mzuri anayeweza kucheza vizuri katika video hiyo.

“Plan zipo za kumtumia, sema bado sijazungumza naye lakini ipo kwenye mpango wa kufanya naye mazunguzo,” amesema Mo.
“Lulu ni muigizaji mzuri sana na pia namkubali kazi zake ndio maana nikaona kama akikaa kwenye project yangu mpya itakuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake

K.O

Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.

K.O

K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.

Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.

Ding Dong | tayotv

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’

Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos

Rappers wa Weusi wako tayari kulichafua anga la muziki kwa kuachia ngoma tatu mpya wiki Ijayo baada ya uchaguzi. Takribani miezi miwili iliyopita Joh Makini na G-Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, moja ikiwa ni collabo ya Joh na rapper wa Afrika Kusini, AKA ‘Don’t Bother’ na nyingine ni single ya G-Nako iitwayo […]

 

9 years ago

Bongo5

One The Incredible kuachia album yake mpya

One Incredible

Rapper One The Incredible amesema yupo kwenye maandalizi ya kuachia album yake mpya ambayo bado hajaipa jina.

One Incredible

One ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo ataifanya iwe bora ili kuhakikisha kuwa mashabiki wake wanapata kitu chenye ubora wa hali ya juu.

“Sasa nina nyimba 18 tayari nimesharekodi na bado ninaendelea kurekodi ndio nianze kupanga ipi itoke na ipi ibaki. Lakini najua na ninajipanga vizuri album iwe kali kila mwenye bahati ya kuwa nayo anufaike na kile nilichokifannya. Na mpaka sasa hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani