Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MO MUSIC ASHEREHEKEA ‘BIRTHDAY’ NA KUACHIA NGOMA MPYA

Mo Music akifungua shampeni baada ya kubadilisha nguo alizoloweshwa alipomwagiwa maji. Mo Music akimlisha keki mkali wa Bongo Fleva, Heri Samiry ‘Mr. Blue’ (kulia). Mo Music akimlisha keki msanii wa muziki Bongo, Ally Timbulo (kulia).…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mo Music kuachia single mpya ‘Skendo’ kwenye birthday yake Nov.14

Mo Music skendo

Msanii aliyewashtua mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kwa single yake ya kwanza ‘Basi Nenda’ mwaka jana, ambayo ilikuja kuwa kama ‘wimbo wa taifa’ kwa jinsi ilivyokubalika, Mo Music anarudi na single mpya iitwayo ‘Skendo’.

Mo Music skendo

Novemba 14 ni birthday ya mwimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Moshi Katemi kutoka Mwanza, na ndio ameichagua kuwa siku ya kuiachia single hiyo ya tano baada ya ‘Nitazoea’.

‘Skendo’ imeandikwa na kutayarishwa na producer Lollipop ambaye ndiye aliyehusika na uandishi...

 

11 years ago

Michuzi

happy Balice kuachia ngoma mpya agosti 11,2014

Msanii wa bongo flava Happy Balice anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la liar tarehe 11/08/2014.  ngoma hiyo iliyopikwa katika studio za Rocfame Music chini ya producer Hans Q.

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD kuachia ngoma mpya ‘Memories’ Oct 7

Muimbaji wa ‘Imebaki Story’, Hemedy PHD, amesema October 7 ataachia wimbo wake mpya uitwao ‘Memories.’ Hemedy ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo umetayarishwa kwenye studio za Don Villa Records. Amesema wimbo huo upo kwenye mahadhi ya R&B na ni wimbo tofauti. Video ya wimbo huo imeongozwa na kampuni ya Kwetu Studios itakayotoka baada ya uchaguzi. Jiunge […]

 

9 years ago

Bongo5

Uchaguzi wamtia hofu Dayna kuachia ngoma mpya

11371220_171295669876422_785758852_nDayna Nyange amesema amewaandalia kazi nyingi mashabiki wake lakini anashindwa kuziachia kutokana vuguvugu la uchaguzi linaloendelea. Akizungumza na Bongo5 leo, Dayna amesema ingawa uchaguzi umepita lakini bado masikio ya watanzania hayako sawa kupokea muziki mpya. “Bado watanzania ndio wanatoka kwenye uchovu wa uchaguzi, nina nyimbo nyingi ila siwezi kutoa kwa sababu bado naona hali si […]

 

10 years ago

GPL

MSANII WA FILAMU SALMA OMARY ASHEREHEKEA ‘BIRTHDAY’ YA MAMA YAKE

Mama Sabby, Bi. Hidaya akikata keti na Sabby akiwa kushoto kwake. Sabby akimlisha keki mama yake.…

 

10 years ago

Bongo5

G-Nako kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo

Rapper wa kampuni ya Weusi, G-Nako anatarajia kuachia ngoma mbili kwa mpigo Jumanne ijayo. Awali ya hapo rapper huyo aliwahi kuiambia Bongo5 kuwa yupo kwenye njia panda kuamua wimbo wake mpya wa kuachia kwakuwa amerekodi nyimbo nyingi na kali. Kutokana na hali hiyo, rapper huyo wa Arusha alisema anafikiria kutumia watu wengine wamsaidie kuamua wimbo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani