TPB yampiga jeki Mwakyembe
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amepokea hundi ya sh milioni tano kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Wilaya ya Kyela walioathirika na mafuriko...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TPB yawapiga jeki Kyela
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amepokea hundi ya sh. milioni 5 kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Kyela walioathirika na mafuriko ya mvua za masika.
Mvua hizo zilitokea mwanzoni mwa mwaka huu na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi na miundombinu.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Makao Makuu ya TPB, ambapo Dk. Mwakyembe, ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, alishukuru kwa mchango huo na kueleza kuwa utatumika kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qc2N7O8h5NL-NgXNmZfnOINByUQd8VEUY7jwb03WFD25D50nmOs4KFX0i0HeUzuvkMBitwu5U8U*dOre*WWw2ox/SIMBA.jpg?width=650)
Simba yampiga pini kapombe
Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
TAARIFA za beki Shomari Kapombe kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC zimetibua mambo na Simba imeamua kuanika mkataba wake. Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa ambayo Kapombe anaichezea, ilisema imepata taarifa za mchezaji huyo kufanya mazungumzo na Yanga na Azam FC na wakala wake, Denis Kadito anayeishi nchini Uholanzi akalithibitisha hilo. Lakini uchunguzi wa Championi Jumatano...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi
Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Uefa yampiga marufuku Pellegrini
Kocha Manuel Pellegrini amepigwa marufuku mechi 2 na UEFA asisogelee eneo la kiufundi la uwanja
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Tanzania yampiga kalamu kocha wake
Mkufunzi Mart Nooij amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya taifa ya soka nchini Tanzania baada ya timu hiyo kushindwa 3-0 na Uganda nyumbani katika mechi ya awamu ya kwanza ya kufuzu kwa michuano ya CHAN.
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Nigeria yampiga kalamu mkufunzi Keshi
Stephen Keshi amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya Nigeria The Super Eagles na nafasi yake kuchukuliwa na Shaibu Amodu kulingana na shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
FIFA yampiga marufuku Chuck Blazer
Fifa imempiga marufuku mwanachama wake wa zamani Chuck Blazer kutoshiriki katika maswala yoyote yanayohusiana na kandanda.
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
FIFA yampiga marufuku Kiungo wa Nigeria
Mchezaji wa timu ya wanawake ya Nigeria Ugo Njoku amepigwa marufuku ya mechi tatu na kamati ya nidhamu ya FIFA.
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
FIFA yampiga marufuku Jack Warner
Aliyekuwa afisa mkuu wa shirikisho la kandanda Duniani, FIFA, Jack Warner, amepigwa marufuku kushiriki shughuli zo zote za kandanda maishani mwake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania