Uefa yampiga marufuku Pellegrini
Kocha Manuel Pellegrini amepigwa marufuku mechi 2 na UEFA asisogelee eneo la kiufundi la uwanja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
FIFA yampiga marufuku Kiungo wa Nigeria
Mchezaji wa timu ya wanawake ya Nigeria Ugo Njoku amepigwa marufuku ya mechi tatu na kamati ya nidhamu ya FIFA.
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
FIFA yampiga marufuku Jack Warner
Aliyekuwa afisa mkuu wa shirikisho la kandanda Duniani, FIFA, Jack Warner, amepigwa marufuku kushiriki shughuli zo zote za kandanda maishani mwake.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
FIFA yampiga marufuku Chuck Blazer
Fifa imempiga marufuku mwanachama wake wa zamani Chuck Blazer kutoshiriki katika maswala yoyote yanayohusiana na kandanda.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7
Afisa wa FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya miaka 7
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal
Mmoja wa maafisa wenye ushawishi mkubwa zaidi katika soka ya bara Asia amepigwa marufuku na FIFA ya miaka kumi kwa tuhuma za ufisadi.
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
CAF yampiga marufuku refa aliyezua utata
Refa aliyesimamia mechi ya robo fainali kati ya Tunisia na Equitorial Guinea amepigwa marufuku ya miezi sita .
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Manchester City: Uefa yawapiga marufuku mabingwa watetezi wa ligi ya England
Manchester City imepigwa marufuku kushiriki katika ligi ya mabingwa kwa misimu miwili na Uefa
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
TPB yampiga jeki Mwakyembe
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amepokea hundi ya sh milioni tano kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Wilaya ya Kyela walioathirika na mafuriko...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi
Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania