CAF yampiga marufuku refa aliyezua utata
Refa aliyesimamia mechi ya robo fainali kati ya Tunisia na Equitorial Guinea amepigwa marufuku ya miezi sita .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Kocha apigwa marufuku na Caf kwa kutusi refa
Kocha wa Guinea-Bissau Paulo Torres amepigwa marufuku kwa mechi zilizosalia zaza Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 kwa kumtusi refa.
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Uefa yampiga marufuku Pellegrini
Kocha Manuel Pellegrini amepigwa marufuku mechi 2 na UEFA asisogelee eneo la kiufundi la uwanja
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
FIFA yampiga marufuku Jack Warner
Aliyekuwa afisa mkuu wa shirikisho la kandanda Duniani, FIFA, Jack Warner, amepigwa marufuku kushiriki shughuli zo zote za kandanda maishani mwake.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
FIFA yampiga marufuku Chuck Blazer
Fifa imempiga marufuku mwanachama wake wa zamani Chuck Blazer kutoshiriki katika maswala yoyote yanayohusiana na kandanda.
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
FIFA yampiga marufuku Kiungo wa Nigeria
Mchezaji wa timu ya wanawake ya Nigeria Ugo Njoku amepigwa marufuku ya mechi tatu na kamati ya nidhamu ya FIFA.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7
Afisa wa FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya miaka 7
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal
Mmoja wa maafisa wenye ushawishi mkubwa zaidi katika soka ya bara Asia amepigwa marufuku na FIFA ya miaka kumi kwa tuhuma za ufisadi.
11 years ago
BBCSwahili30 Sep
CAF yaondoa marufuku ya Gambia
CAF imeondoa marufuku ya shirikisho la soka la Gambia baada ya GFF kufanya uchaguzi mwishoni mwa juma.
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Morocco yapigwa marufuku na CAF
Morocco imepigwa marufuku kushiriki katika michuano miwili ya kombe la Afrika baada ya kushindwa kuandaa michuano ya mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania