Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manchester City: Uefa yawapiga marufuku mabingwa watetezi wa ligi ya England

Manchester City imepigwa marufuku kushiriki katika ligi ya mabingwa kwa misimu miwili na Uefa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND 2015/16: Je, msimu ujao mabingwa ni Arsenal au Manchester United?

>Baada ya wiki iliyopita Manchester United na Arsenal kutoka sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Old Trafford, timu hizi zilionyesha kwamba haziwezi kuitoa Manchester City katika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu England huku zikiwa zimeishakubali Chelsea kuwa bingwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England

 Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu England ikiwa na pointi 32 bila mpinzani baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 2-0.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England

Chelsea ina nafasi ya pekee ya kufikisha pointi nane dhidi ya Manchester City leo katika mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo

Champions-League

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German  

Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo  

GROUP B;

Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow

PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg     

GROUP C;

FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid  

Benfica 2 – 1 Galatasaray   

GROUP D;

Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus 

Sevilla 1 – 3 Manchester City 

Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA! michezo ya jana

gareth-bale-shakhtar-donetsk-real-madrid-champions-league_173pi72jkl69m1b0s8rwmfilt5

Wachaji wa shakhtar donetsk na Real-Madrid  wakichuana katika mchezo huo uliomalizika kwa Madrid kushinda bao 4-3.

Baada ya michezo 8 iliyochezwa siku ya jumanne, jana jumatano ligi ya Mabingwa Ulaya kwa vilabu maarufu kama UEFA Champion League iliendea kwa michezo 8 mingine.

Haya ndiyo matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA kwa michezo ya jumatano

GROUP: A

Shakhtar Donetsk 3 – 4 Real Madrid

Malmo 0 – 5 Paris Saint German

GROUP: B

Manchester United 0 – 0 PSV

CSKA Moscow 0 – 2 Wolfsburg

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea mabingwa wapya Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeibuka bingwa mpya wa Ligi Kuu ya England, EPL kw mwaka 2014/2015 huku ikibakiwa na michezo mitatu

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya michezo ya ligi ya mabingwa Ulaya UEFA iliyochezwa jana Jumatano Novemba, 4

Champions League

GROUP E

Barcelona 3 – 0 Bate Borisov    

AS Roma 3 – 2 Bayer Leverkusen       

GROUP F

Bayern Munich 5 – 1 Arsenal      

Olympiakos 2– 1 Dinamo Zagreb        

GROUP G

Chelsea 2 – 1 Dynamo Kyiv       

Maccabi Tel Aviv 1 – 3 FC Porto          

GROUP H

Gent 1 –  0 Valencia                  

Lyon 0 –  2 Zenit St....

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

uefa_champions_league-wallpaper-1440x1080

GROUP: E

BATE Borisov – Bayer Leverkusen   20:00 EAT

Barcelona – Roma  22:45 EAT

GROUP: F

Arsenal – Dinamo Zagreb  22:45 EAT

Bayern Munich – Olympiakos  22:45 EAT

GROUP: G

Porto – Dynamo Kyiv  22:45 EAT

Maccabi Tel Aviv – Chelsea  22:45 EAT

GROUP: H

Zenit St. Petersburg – Valencia  20:00 EAT

Lyon – Gent  22:45 EAT

 

11 years ago

GPL

NI MANCHESTER CITY ENGLAND 2013/14

Mashabiki wa Manchester City wakiingia uwanjani kushangilia ubingwa wa timu yao. Wachezaji wa Man City wakishangilia bao lao la kwanza lililowekwa kimiani na Vicent Kompany. HATIMAYE timu Manchester City, imetawazwa rasmi kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu England kwa msimu wa 2013/14 kufuatia ushindi wa mabao 2-0 walioupata dhidi ya Wagonga Nyundo wa London, West Ham United katika mchezo ulipigwa kwenye Uwanja wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani