Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
>Siku moja baada ya kufukuzwa uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Yanga bwana, we acha tu
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fmjaW8lXnxY/Uw2o58sGr4I/AAAAAAAFPqM/T1yLUXNmy44/s72-c/IMG-20140225-WA000.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYo91VqBLgljousQkE7-Wu0ermcxofeuBwACNuCOSokqJFSszrM4uiVvPj0bG5DqqRS6cJLRFnRMjtZhbHk3W03X/150000080.jpg)
WOLPER JIHESHIMU BWANA
9 years ago
Bongo530 Oct
Music: Sis P — Bonge la Bwana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KcXUOos5NiE/VcAoJmqRFfI/AAAAAAAHtsA/s1Mkb1WoVDg/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
Bwana Apewe Sifa na Kuinuliwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-KcXUOos5NiE/VcAoJmqRFfI/AAAAAAAHtsA/s1Mkb1WoVDg/s1600/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
Kwa niaba ya uongozi wa Tanzania Global Prayer Movement (TGPM) natoa shukrani za dhati kwa wale wote waliojiunga nasi kwenye maombi ya Jumapili hii na siku zote kuanzia Jumapili July 26 tukiombea utakaso wa kiti cha Raisi, Ikulu, viti vya wabunge na madiwani pamoja na amani wakati vyama vinajipanga sawa sawa na uchaguzi.
Yafuatayo ndiyo tunayoendelea kuombea mpaka siku ya Jumapili Agosti 9 ambapo itakuwa hitimisho la wiki tatu kuombea haya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbXXKJP**EfQMBFurTj2RCRjzBtJjc7L9tGIijxWixTWV0XBmxwHntbK7BPbSx3VnHRzy9RDFKFRoHjh-XLmNJA*/CHEKANAKITIME.jpg)
SWAGA ZILIKUWA ZAMANI BWANA!
9 years ago
Bongo Movies19 Nov
Sajent na Nisha Wamgombea Bwana
WAIGIZAJI wa filamu Bongo, Husna Iddi ‘Sajent’ na mwenzake Salima Jabu ‘Nisha’ wanadaiwa kuwa katika ugomvi mkubwa kumgombea msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Barakah Andrew ‘Barakah Da Prince’
Chanzo makini kilicho karibu na wasanii hao kinasema Sajenti ndiye aliyeingilia kati penzi la wawili hao baada ya ujumbe wake wa simu kukutwa katika simu ya mkali huyo wa Bongo Fleva ambaye amekuwa katika uhusiano na Nisha kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
“Kuna siku Nisha alifuma meseji kwenye simu ya...
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mobeto: Lulu Kanipora Bwana!
MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai kuporwa bwana’ke aliyekuwa akimpa jeuri mjini (jina tunalo) huku zigo la lawama likimwangukia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
CHANZO KINASEMAJE?
Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwana’ke aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa...