Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO LA BWANA DALALI


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.

Mr. Edward Ntoroma wa State House Tanzania, pamoja na Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania wanamtafuta Ndugu yao Mr. Gratian Emmanuel Nshekanabo, Mr. Gratian alikuwa anaishi Miami. FL na kazi alikuwa anafanyia kwenye address hii 3101 Lorna Rd Apt 1322 Birmingham. Mr Gratian hajawahi kuwasiliana na familia yake kwa muda mrefu sasa hadi wamepatwa na wasiwasi. Yeyoye mwenye kujua taarifa ya  Mr. Gratian anaombwa amwambie anatafutwa na familia yake na anaweza kuwasiliana nao kwa #...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

9 years ago

Bongo5

Music: Bilal Ft At — Dalali

Wimbo mya wa msanii Bilal amemshirikisha AT unaitwa “Dalali” Producer Mo Fire Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

Dalali aichukua Simba

Mwaenyekiti wa zamani wa Simba,Hassan Dalali. Na Nicodemus Jonas
HATIMAYE uongozi wa zamani wa Simba uliokuwa chini ya Hassan Dalali na Mwina Kaduguda, umetaka kuichukua timu hiyo kabla ya kuvaana na Yanga. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa timu hizo kukutana msimu huu. Habari za ndani ambazo zimelifikia Championi Jumatano zinasema kuwa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Fid Q: Mimi ni dalali wa madini

>Kati ya mamia ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya maarufu Tanzania, ni mwanamuziki mmoja pekee aliyehudhuria katika Tamasha la Sauti za Busara 2014, lililotajwa na Kituo cha Utangazaji cha CNN kuwa ni tamasha lenye nguvu barani Afrika.

 

10 years ago

Mtanzania

Mali za Hospitali ya AMI zakamatwa na dalali

Pg 1Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
DALALI wa Mahakama, MEM Auctioneers and General Brokers Ltd, jana alikamata na kuondoa mali za Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Centre iliyoko Msasani Dar es Salaam, kutokana na kudaiwa kodi ya pango ya zaidi ya Sh bilioni tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo mwakilishi wa kampuni hiyo ya udalali, Elieza Mbwambo, alisema kiasi hicho ni kodi ya pango ya zaidi ya miezi 26 kinachodaiwa na mmiliki wa jengo...

 

11 years ago

GPL

Mpira Pesa wampa urais Dalali

Kundi la Mpira Pesa la Simba. Na Khadija Mngwai
WANACHAMA wa Kundi la Mpira Pesa la Simba, wamefunguka kuwa, anayefaa kuwa rais wa klabu hiyo kwa miaka minne ijayo ni Hassan Dalali kwa kuwa ni mtu mwenye hekima na busara.
Dalali aliwahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo kabla ya Ismail Aden Rage lakini alipigwa zengwe katika uchaguzi uliopita kutokana na kukosa cheti cha kidato cha nne na sasa yupo ‘skuli’ anaendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani