Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dalali aichukua Simba

Mwaenyekiti wa zamani wa Simba,Hassan Dalali. Na Nicodemus Jonas
HATIMAYE uongozi wa zamani wa Simba uliokuwa chini ya Hassan Dalali na Mwina Kaduguda, umetaka kuichukua timu hiyo kabla ya kuvaana na Yanga. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa timu hizo kukutana msimu huu. Habari za ndani ambazo zimelifikia Championi Jumatano zinasema kuwa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Dalali afunguka kuhusu kuwa mwenyekiti Simba

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali. Na Khadija Mngwai
ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali, ameibuka na kusema kuwa bado anajifikiria juu ya kuamua kugombea au kutogombea nafasi hiyo kwa kuwa mwenyekiti wa sasa, Ismail Aden Rage, anamaliza muda wake na ameshatangaza kutogombea tena. Simba inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Mei nne, mwaka huu baada ya muda wa uongozi wa Rage kumalizika huku...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Music: Bilal Ft At — Dalali

Wimbo mya wa msanii Bilal amemshirikisha AT unaitwa “Dalali” Producer Mo Fire Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Mwananchi

Fid Q: Mimi ni dalali wa madini

>Kati ya mamia ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya maarufu Tanzania, ni mwanamuziki mmoja pekee aliyehudhuria katika Tamasha la Sauti za Busara 2014, lililotajwa na Kituo cha Utangazaji cha CNN kuwa ni tamasha lenye nguvu barani Afrika.

 

10 years ago

Mtanzania

Mali za Hospitali ya AMI zakamatwa na dalali

Pg 1Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
DALALI wa Mahakama, MEM Auctioneers and General Brokers Ltd, jana alikamata na kuondoa mali za Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Centre iliyoko Msasani Dar es Salaam, kutokana na kudaiwa kodi ya pango ya zaidi ya Sh bilioni tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo mwakilishi wa kampuni hiyo ya udalali, Elieza Mbwambo, alisema kiasi hicho ni kodi ya pango ya zaidi ya miezi 26 kinachodaiwa na mmiliki wa jengo...

 

11 years ago

GPL

Mpira Pesa wampa urais Dalali

Kundi la Mpira Pesa la Simba. Na Khadija Mngwai
WANACHAMA wa Kundi la Mpira Pesa la Simba, wamefunguka kuwa, anayefaa kuwa rais wa klabu hiyo kwa miaka minne ijayo ni Hassan Dalali kwa kuwa ni mtu mwenye hekima na busara.
Dalali aliwahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo kabla ya Ismail Aden Rage lakini alipigwa zengwe katika uchaguzi uliopita kutokana na kukosa cheti cha kidato cha nne na sasa yupo ‘skuli’ anaendelea...

 

10 years ago

Mwananchi

Kura tumpe mgombea, dalali, chama au ilani?

Wadau wa tafakuri, sote tunajua kwamba siku ya uchaguzi tunayo dhamira ya dhati ya kwenda kupiga kura ili kumpata Diwani, Mbunge na Rais wa awamu ya tano.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwesigwa aahidi uwazi, Dalali, Mtawala, Dauda waula TFF

Katibu mkuu mpya wa Shirikisho la Soka  Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa ametambulishwa  rasmi jana kuchukua mikoba ya Angetile Osiah na kuahidi kufanya kazi kwa uwazi na ushirikiano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani