Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dalali afunguka kuhusu kuwa mwenyekiti Simba

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali. Na Khadija Mngwai
ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali, ameibuka na kusema kuwa bado anajifikiria juu ya kuamua kugombea au kutogombea nafasi hiyo kwa kuwa mwenyekiti wa sasa, Ismail Aden Rage, anamaliza muda wake na ameshatangaza kutogombea tena. Simba inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Mei nne, mwaka huu baada ya muda wa uongozi wa Rage kumalizika huku...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kim Poulsen... afunguka kuhusu Simba

Kocha Kim Poulsen. Na Saleh Ally
KOCHA Kim Poulsen amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kuwa amefanya mazungumzo na Simba.Poulsen raia wa Denmark, amefanya mahojiano maalum na Championi Jumatano, jana mchana na kusema anaangalia kati ya ofa mbili, moja ya Simba na pili kwao Denmark na bado hajafikia uamuzi sahihi. Awali, gazeti hili liliandika kuhusiana na ujio wa Poulsen aliyewahi kuinoa Taifa Stars, anayekuja...

 

11 years ago

GPL

Kipa Simba afunguka kuhusu ushoga

Kipa wa zamani wa Simba, Andrew Ntalla. Na Sweetbert Lukonge
WIKI iliyopita, kipa wa zamani wa Kagera Sugar na Simba, Andrew Ntalla alielezea mikasa aliyokutana nayo kwenye Klabu ya Simba, nyakati ngumu na ahadi hewa kutoka kwa viongozi waklabu hiyo likiwemo suala la kukosa mahali pa kuishi wakati aliahidiwa kupewa nyumba ya kuishi.
Endelea… NILIPOTOKA kwenye ile gesti ya Manzese ambayo walikuwa wamenipangia kisha...

 

10 years ago

Vijimambo

LADY JAY DEE AFUNGUKA KUHUSU KUWA NA MTOTO!

Jide akiwa na Mokonyo (mtoto wa mdogo wake Dabo)Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha ‘Diary Ya LadyJaydee’ kinachorushwa kupitia EATV. “SWALI: Una watoto wangapi?JIBU : Sina mtoto wala watoto 
SWALI:Utazaa lini?JIBU : Sijajua mpk sasa nitazaa lini, ila siku yoyote ile ikitokea naweza kuzaa 
SWALI: Kwanini huna mtoto /watoto?JIBU : Sina...

 

10 years ago

GPL

Dalali aichukua Simba

Mwaenyekiti wa zamani wa Simba,Hassan Dalali. Na Nicodemus Jonas
HATIMAYE uongozi wa zamani wa Simba uliokuwa chini ya Hassan Dalali na Mwina Kaduguda, umetaka kuichukua timu hiyo kabla ya kuvaana na Yanga. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa timu hizo kukutana msimu huu. Habari za ndani ambazo zimelifikia Championi Jumatano zinasema kuwa,...

 

10 years ago

GPL

LULU AFUNGUKA KUWA HAPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI

Stori: Imelda Mtema Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri. Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi.. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri afunguka kuhusu kisima

Naibu Waziri Tamisemi, Agrey Mwanri amesema kisima kimoja kati ya viwili vilivyojengwa kwa gharama ya Sh393milioni katika kijiji cha Kanondo Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa kimebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kagame afunguka kuhusu Katiba

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewataka raia wa nchi hiyo kuendelea kuwa na ujasiri na kujiamini wakati wa kufanya maamuzi yanayohusiana na hatima ya taifa lao akisisitiza kuwa wao ndiyo wenye dhamana ya kufanya hivyo na wala siyo watu wengine

 

10 years ago

Habarileo

Dk Masaburi afunguka kuhusu urais

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi amesema kuwa atampigia debe mgombea urais atakayeonesha nia ya kuendeleza Serikali za Mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani