Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SWAGA ZILIKUWA ZAMANI BWANA!

Maendeleo yameua swaga nakwambia. Watu siku hizi wanajidaiii eti wana swaga, aa wapi! swaga zilikuwa zamani bwana. Enzi hizo za redio moja, mtu ukitoka kijijini na kuweza kuja kukaa mjini hata wiki moja tu, ukirudi unajikuta wewe ndiye mjanja wa kijijini, na kama ulibahatika kuja jiji la Dar es Salaam, basi watu wote wanakusikiliza wewe. Unavyowahadithia jinsi ulivyopanda basi la ghorofa, au hata ulivyoibiwa mara baada ya kushuka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

JB bonge la bwana Kufunga mwaka na ‘Mzee wa Swaga’

Anaigiza, anawaachia nafasi wengine akiwa nyuma ya kamera, anachekesha anapotakiwa kufanya hivyo, ni mnene wa mwili lakini mwongozaji wa filamu akimwamuru kukimbia hana budi kufanya hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fid Q: Video zangu zilikuwa dhaifu

MKALI wa muziki wa hiphop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema amegundua kuwa katika nyimbo zake anazotoa anakuwa na mapungufu upande wa video. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Fid...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa Swaga: Zamaradi Amuumbua JB Kwaku-Copy na Ku-Paste!!

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu mkubwa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’  hivi juzi kati amekumbana na kashfa nzito ya kugeza moja ya filamu ya kutoka India ‘Bollywood’.

Filamu ya JB inayokwenda kwa jina la Mzee wa Swaga ambayo inafanya vizuri sokon hivi sasa inadaiwa kuwa ni “Copy and Paste” ya  filamu moja maarufu kutoka Bollywood inayofahamika kwa jina la "Ladies VS Ricky Bahl".

Akizungumza kupitia kipindi cha take one, Zamaradi Mketema amethibitisha usanii huo uliofanyika na kampuni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo:Hizi Swaga za JB Mtandaoni Kujibu Mapigo ya Zamaradi

Kama mnavyojua tena  habari ya MUJINI kwenye tasnia hii ya filamu ni hii ya Copy and Paste ya Mzee wa Swaga kutoka kwa Ladies VS Ricky Bahl akutoka Hollywood.

Hili lilipamba moto baada ya mtagazaji Zamaradi Mtetema kuchana wazi wazi kwnye kipindi chake cha TAKE ONE  kuwa kampuni ya Jerusalem imefanya kuiga filamu  hiyo ya kihindi kwa asilimia karibu zote.

Sasa haya ni baadhi ya maneno na swaga ambazo JB ambae ndio mtunzi, mwongozaji na muigizaji mkuu wa filamu hiyo amekuwa akizitupia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: Saga la Ladie Vs Ricky Bahl Vs Mzee wa Swaga

Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki mitandaoni kuhusiana na SAGA la Ladies Vs Ricky Bahl Vs Mzee wa Swaga  walioziona zote mbili.

Inasikitisha sana kama wasanii wetu wanaweza kufanya uhuni huu na kutuaminisha watanzania kwamba wametunga wao.
Binafsi nimeangalia muvi ya Ladie Vs Ricky Bahl mwaka 2011 na ni moja kati ya movie ya kihindi niliyoipenda kutokana na maudhui yaliyo kwenye movie hiyo.
Ricky Bahl alicheza kama Conman mtaalam aliyekuwa anawalaghai wadada mbalimbali kwa mapenzi ya dhati...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wastara kuwa mpenzi wa JB ndani ya filamu mpya ‘Mzee wa Swaga’

Jacob Stephan na Wastara Juma wameingia mzigoni kushoot filamu mpya iitwayo ‘Mzee wa Swaga’ ambapo ndani ya filamu hiyo Wastara ni mpenzi wa JB. Wastara akiwa na JB katika filamu mpya ya Mzee wa Swaga Wastara ameiambia Bongo5 kuwa filamu hiyo iliyo chini ya kampuni ya Jerusalem film itahusisha mastaa mbalimbali katika tasnia hiyo. “Tupo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani