Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijimambo:Hizi Swaga za JB Mtandaoni Kujibu Mapigo ya Zamaradi

Kama mnavyojua tena  habari ya MUJINI kwenye tasnia hii ya filamu ni hii ya Copy and Paste ya Mzee wa Swaga kutoka kwa Ladies VS Ricky Bahl akutoka Hollywood.

Hili lilipamba moto baada ya mtagazaji Zamaradi Mtetema kuchana wazi wazi kwnye kipindi chake cha TAKE ONE  kuwa kampuni ya Jerusalem imefanya kuiga filamu  hiyo ya kihindi kwa asilimia karibu zote.

Sasa haya ni baadhi ya maneno na swaga ambazo JB ambae ndio mtunzi, mwongozaji na muigizaji mkuu wa filamu hiyo amekuwa akizitupia...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa Swaga: Zamaradi Amuumbua JB Kwaku-Copy na Ku-Paste!!

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu mkubwa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’  hivi juzi kati amekumbana na kashfa nzito ya kugeza moja ya filamu ya kutoka India ‘Bollywood’.

Filamu ya JB inayokwenda kwa jina la Mzee wa Swaga ambayo inafanya vizuri sokon hivi sasa inadaiwa kuwa ni “Copy and Paste” ya  filamu moja maarufu kutoka Bollywood inayofahamika kwa jina la "Ladies VS Ricky Bahl".

Akizungumza kupitia kipindi cha take one, Zamaradi Mketema amethibitisha usanii huo uliofanyika na kampuni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukrain kujibu mapigo

Jeshi la Ukrain limeanza kujihami mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Urusi

 

9 years ago

Mwananchi

Gwajima kujibu mapigo ya Dk Slaa kesho Dar

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kesho anatarajia kujibu mapigo kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ambaye hivi karibuni alimweleza kuwa ni mshenga wa Edward Lowassa kwa viongozi wa Chadema.

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Wema Atoa FACT 5 Za Ukweli Kuhusu Zamaradi Mtetema

Mara baada ya mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi cha maswala filamu nichini cha TAKE ONE, Zamaradi Mtetema kuweka bandiko mtandaoni, akiwatata mashabiki na wapenzi wake, wataje mambo matano ambayo niyaukweli kuhusu yeye Zamaradi kwa jinsi wanavyo muona na atatoa zawadi kwa yule atakae patia.

Bandiko lilisema;

"If someone managed kunitajia hata FACT 5 about me za ukweli kulingana na unavyoniona... nna zawadi yako kubwa and I AM SERIOUS.... Unahisi nikoje!!? only 5 facts then ntasema nani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi salamu za heri ya mwaka mpya toka kwa Nisha na Zamaradi zinatuhusu sote

Tukiwa tumebakiza siku chache tu kabla ya kumalizika kwa mwaka 2014. Mastaa hawa wawili toka tasnia ya filamu nchini wametoa salamu hizi za mwisho wa mwaka ambazo zinamhusu kila mtu. Ukitafakari vizuri na kuamua kufanyia kazi yaliyosema linaweza kuwa jambo la maana sana kwako.

 

Salma Jabu - Nisha

 

"Kila binaadam anaijua leo kesho haijui,tumebakisha siku chache inshaallah mwaka uishe,sijui km ntafika au sifiki. Kikubwa leo hii ambayo nimeiona naomba nichukue fursa hii kumuomba msamaha...

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli Amshukia Kitale Kwa Kuvujisha Picha Hizi Mtandaoni

Staa wa mrembo wa Bongo Movie, Batuli ameonyesha kuchukizwa kwake kwa kitendo cha staa mwenzake, Kitale kuvujisha picha hizi  akiwa faragha na mwigizaji chipukizi, Stanbakora ikiwa ni kati ya moja ya kipande cha kazi yao mpya, kwa madai kuwa anaipa ‘promo’.

Kupitia ukurasa wake mtandao Batuli ameeleza kuwa Kitale alimpa picha hizo Mateja ambaye ndiye aliezisambaza kwenye mtandao wa Instagram.

“Kwanza mniwie radhi Watanzania mnachokiona na kinachoelezewa ni vitu viwili tofauti mwenye akili...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha Hizi za Wema Sepetu na Patcho Mwamba Zawa Gumzo Mtandaoni

Picha za mastaa wakali wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Patcho Mwamba zilizosambaa mtandaoni wakiwa kwenye mapozi mtamu matamu yakiwaonyesha kama ni wapenzi zimekuwa kivutio miongoni mwa mashabiki wao. Picha hizo ni picha za promo ya filamu yao mpya ya Chungu cha Tatu inayotarajiwa kuingia sokoni siku chache zijazo.

Chungu cha Tatu imetayarishwa na kutengenezwa chini ya kampuni ya Jerusalem Filims.

Jionee picha zaidi HAPA

 

5 years ago

BBCSwahili

Solomon Mugera: Hizi ndizo njia bora za kukabili habari feki mtandaoni

Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani