VIJIMAMBO: Wema Atoa FACT 5 Za Ukweli Kuhusu Zamaradi Mtetema
Mara baada ya mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi cha maswala filamu nichini cha TAKE ONE, Zamaradi Mtetema kuweka bandiko mtandaoni, akiwatata mashabiki na wapenzi wake, wataje mambo matano ambayo niyaukweli kuhusu yeye Zamaradi kwa jinsi wanavyo muona na atatoa zawadi kwa yule atakae patia.
Bandiko lilisema;
"If someone managed kunitajia hata FACT 5 about me za ukweli kulingana na unavyoniona... nna zawadi yako kubwa and I AM SERIOUS.... Unahisi nikoje!!? only 5 facts then ntasema nani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Dinah Marious: Sina Ugomvi na Zamaradi Mtetema
Aliekuwa mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na redio Clouds FM, Dinah Marious mbali na kuelezea kile kinachoendelea kati yake na uongozi wa redio hiyo, Dinah ameweka wazi kuwa hana ugomvi wowote na mtangazaji mwenzie, Zamaradi Mtetema.
Dinah kupitia ukurasa wake mtandaoni alianza kwa kuelezea hali halisi kati yake na mwajiri wake.
"Katika haya maisha hamna kitu kibaya kama kumuonea na kumnyanyasa mtu ambaye hana hatia.Kwa kutumia cheo,madaraka,nguvu na nafasi uliyonayo...
10 years ago
Bongo Movies16 May
Andiko Hili la Zamaradi Mtetema Lawagusa Wengi
MAISHA NI SAFARI na lazima WOTE tufike.. haijalishi kwa njia gani sababu kila mtu ana njia yake ya kupita ili kukamilisha safari hii.. kumbuka njia hazifanani sababu kila mtu ana MWISHO WAKE tofauti, hivyo katika hii safari unatakiwa kuwa makini na kuangalia NJIA YAKO TU na sio kuwa na wasiwasi na njia za wengine ama kujaribu kupita/Kuiga njia walizopita wengine..kufanya hivyo Hakutafanya ufike unapotakiwa kufika (kwako) ila utajikuta umefika kwa WENGINE ambako si kwako mwisho wa siku...
10 years ago
Bongo Movies20 May
Zamaradi Mtetema: Ukitaka Kuchukiwa Duniani we Kuwa Mkweli Tu…
Ukitaka kuchukiwa Duniani we KUWA MKWELI TU!!! kuwa mkweli kwa rafiki zako, kuwa mkweli kwa ndugu zako kuwa mkweli kwa wanaokuzunguka kuwa mkweli kwa jamii... mtu akikukosea mwambie kiroho safi, kitu kikikuuma ongea, kama kitu hujapenda ongea.. unaona shogaako akichemsha kitu mchane na kumuelekeza.. nk utachukiwa mpaka basi na utapewa maneno kama kimbelembele, mjuaji, mi sikipendi, ye ananjifanya hakosei... n.k
Na ukitaka kupendwa na kila mtu Duniani na wengi wawe wako we SNITCH TU.. njia...
10 years ago
Bongo Movies13 Oct
Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:
“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...
10 years ago
Bongo Movies13 Mar
Picha:Ukweli Kuhusu Wema na Ommy Huu Hapa!
Hatimaye imekuwa dhahili kuwa mwanamziki Ommy Dimpoz ambae anajiita ‘Baba Wanjera’ na mwigizaji Wema Sepetu ambae ameitwa kama Wanjera walikuwa wakifanya kazi na sio malavidavi kama ilivyokuwa ikidhaniwa siku za hivi karibuni kutokana ukaribu waliokuwa nao.
Leo saa 4 asubuhi ngoma ya Ommy inayokwenda kwa jina la Wanjera itaruka hewani kwenye TV na redio zote ndani na nje ya nchi.
Jionee baadhi ya picha zitakazo onekana kwenye ngoma hiyo.
Mzee wa...
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Vijimambo:Hizi Swaga za JB Mtandaoni Kujibu Mapigo ya Zamaradi
Kama mnavyojua tena habari ya MUJINI kwenye tasnia hii ya filamu ni hii ya Copy and Paste ya Mzee wa Swaga kutoka kwa Ladies VS Ricky Bahl akutoka Hollywood.
Hili lilipamba moto baada ya mtagazaji Zamaradi Mtetema kuchana wazi wazi kwnye kipindi chake cha TAKE ONE kuwa kampuni ya Jerusalem imefanya kuiga filamu hiyo ya kihindi kwa asilimia karibu zote.
Sasa haya ni baadhi ya maneno na swaga ambazo JB ambae ndio mtunzi, mwongozaji na muigizaji mkuu wa filamu hiyo amekuwa akizitupia...
10 years ago
Bongo515 Oct
Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
ZAMARADI: Nategemea kazi bora kutoka kwa Wema na Van Vicker
Mtangazaji na wa kipindi cha television cha maswala ya filamu,TAKEONE, kinachorusha na kituo cha CloudsTV, Zamaradi Mtetema baada ya hivi majuzi kutoa maoni yake juu ya tasnia hii ya filamu hapa nchini[SOMA HAPA], ambayo yaliozua mjadala mrefu miongoni mwawadau wa tasnia hii.
Leo ameibuka na kuonekana kuwa mwenye shauku kubwa na matumaini makubwa ya kazi anayoifanya muigizaji Wema Sepetu huko nchini Ghana. Zamaradi kupitia ukurasa wake aliandika;
Baada ya kuandika hivyo mashabiki wengi...
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
Alichokisema Zamaradi kuhusu bongo Movies. "Tatizo liko wapiii"?
Leo mwanadada Zamaradi mketema ameamua kusema haya kuhusu filamu zetu nchini. Kama wewe ni mdau wa bongo movies tafadhali tusaidie kutoa maoni yako juu ya maswali haya ambayo zamaradi anauliza…
Hichi ndicho alichosema…
“…Natamani sana siku moja atokee mtu kwenye hii sekta atutambulishe hata kama sio kimataifa basi africa tu... R.I.P KANUMBA alianza kuonesha mwangaza na juhudi binafsi zilionekana na kila mtu aliona huenda angefika mbali.. lakini baada ya hapo sioni tena!!!!
Mbona hapa...