Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane

Muimbaji wa muziki nchini, Ray C amewataka wasanii kupendana na kuwa kitu kimoja baada ya kuandika ujumbe Instagram aliotumia pia kumuomba msamaha mtangazaji wa Clouds TV, Zamaradi Mketema. Huu ni ujumbe aliomwandikia Zamaradi Mketema na kuwataka Wema na Kajana wasameheane: “Love u zama n sorry for everything keep doing wat u do best @zamaradimketema n […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema

Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:

“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...

 

10 years ago

Mtanzania

P. Diddy amuomba msamaha kocha wa mtoto wake

Rapper Sean "Puffy" CombsLOS ANGELES, Marekani

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Sean Combs ‘Puff Daddy’, amemuomba msamaha kocha wa mtoto wake baada ya kugombana naye miezi miwili iliyopita.

Diddy aligombana na Sal Alosi baada ya kocha huyo kupishana maneno na mtoto wake wakiwa mazoezini, ambapo Diddy alichukua uamuzi wa kumpiga na kifaa kizito kocha huyo lakini baada ya kuomba radhi akaapa kutokwenda tena mazoezini kumwangalia mwanawe.

“Nilipishana maneno na kocha wa mwanangu, lakini kila kitu kipo sawa...

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

11 years ago

GPL

KISA MTOTO WA KAJALA, ZAMARADI YAMKUTA

Jambo limezua jambo! Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema yamemkuta mazito baada ya kumwagiwa mvua ya matusi kisa kumhoji mtoto wa Kajala Masanja (jina kapuni kimaadili) juu ya ugomvi wa mama yake na Wema Isaac Sepetu. Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema. Mara baada ya Zamaradi kuzungumza na mtoto huyo kupitia Kipindi cha Leo tena ndipo mitandao ya kijamii ikalipuka kwa matusi kuwa hakupaswa kumhusisha mtoto...

 

10 years ago

Bongo Movies

Vita ya Ray C na Zamaradi Yapamba Moto

Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa ni maneno ya kejeli ya mtangazaji zamaradi mketema kwa mwanamuziki Ray C.

Hivi karibuni Zamaradi aliposti picha ya mwanae kwenye mtandao wa Instagram akim wish Happy birthday, uku aki repost baadhi ya pongezi kutoka kwa baadhi ya mastaa na mashabiki mbali mbali wa mtangazaji huyo, kitendo ambacho...

 

10 years ago

GPL

NUH AMUOMBA WEMA PENZI, SHILOLE AZIMIA!

Musa mateja YELEUWIII! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie, Ijumaa Wikienda linakupa ‘ubuyu’ kamili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1OJUPvy ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani