KISA MTOTO WA KAJALA, ZAMARADI YAMKUTA

Jambo limezua jambo! Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema yamemkuta mazito baada ya kumwagiwa mvua ya matusi kisa kumhoji mtoto wa Kajala Masanja (jina kapuni kimaadili) juu ya ugomvi wa mama yake na Wema Isaac Sepetu. Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema. Mara baada ya Zamaradi kuzungumza na mtoto huyo kupitia Kipindi cha Leo tena ndipo mitandao ya kijamii ikalipuka kwa matusi kuwa hakupaswa kumhusisha mtoto...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies09 Oct
Kajala yamkuta baada ya kuweka picha simu ambayo bado haijatoka sokoni akidai anayo
Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo ilihali simu yenyewe ikiwa bado hata haijaanzwa kuuzwa sehemu yoyote duniani. Kupitia picha hiyo kajala aliambulia maneno kadhaa ya kashfa toka kwa watu mbalimbali wengi wao wakimtaka aache maisha ya kuigiza.
Baadhi ya maoni hayo ni:-
"Hahahaha watu ndo wanatoa pre order october 16 ndo ina...
11 years ago
Bongo515 Oct
Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane
10 years ago
GPL
AMBAKA MTOTO WA MIAKA 3, YAMKUTA
11 years ago
Bongo Movies13 Oct
Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:
“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...
10 years ago
Vijimambo
DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.

Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...
11 years ago
GPL
ZAMARADI KUASILI MTOTO
11 years ago
GPL
WEMA AMLIPUA KAJALA, KISA UNAFIKI!
10 years ago
GPL
MASTAA WAMLIZA KAJALA USIKU, KISA..!
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Mtoto wa Kajala amuangukia Wema
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mtoto wa muigizaji wa filamu Kajala Masanja, Paula, amemuomba msamaha Wema Sepetu kwa niaba ya mama yake ili kumaliza ‘bifu’ zito walilonalo. Mtoto huyo, alifikia...