DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.
Kumekuwa hakuna maelewano mazuri katika ya watangazaji hawa wawili baada ya Dina Marious kusimamishwa kazi katika radio hiyo.
Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Dec
Dina Marious kuja na TV Show ‘Maisha Class’
Mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, Dina Marious anatarajia kuja na kipindi chake cha TV kiitwacho, ‘Maisha Class’ kitakachokuwa kikizungumzia mambo mbalimbali ya jamii.
Mtangazaji huyo wa zamani wa Clouds FM, ametoa taarifa hiyo kupitia Instagram:
Muda mrefu nimetamani kuwa na tv talk show lakini muda bado naona sasa wakati bado najiweka sawa tufanye hivi. Nimekuwa naandika sana hapa insta vitu mbali mbali vya kujengana na kukumbushana kuhusu maisha yetu ya kila siku.Haya ni...
10 years ago
GPLHAPPY BIRTHDAY ZAMARADI MKETEMA
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Dinah Marious: Sina Ugomvi na Zamaradi Mtetema
Aliekuwa mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na redio Clouds FM, Dinah Marious mbali na kuelezea kile kinachoendelea kati yake na uongozi wa redio hiyo, Dinah ameweka wazi kuwa hana ugomvi wowote na mtangazaji mwenzie, Zamaradi Mtetema.
Dinah kupitia ukurasa wake mtandaoni alianza kwa kuelezea hali halisi kati yake na mwajiri wake.
"Katika haya maisha hamna kitu kibaya kama kumuonea na kumnyanyasa mtu ambaye hana hatia.Kwa kutumia cheo,madaraka,nguvu na nafasi uliyonayo...
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
Bongo Movies13 Oct
Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:
“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Picha: Usaili wa kumtafuta mwigizaji wa filamu ya Zamaradi Mketema iitwayo ''MUKE YA MUZUNGU'' katika viwanja vya Leaders,Kinondoni
Mwigizaji Aunty Ezekiel akiwa na wasichana waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.Geah Habib akiwa na washiriki waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.Zamaradi Mketema akijadiliana kitu na Geaha Habib.
11 years ago
GPLKISA MTOTO WA KAJALA, ZAMARADI YAMKUTA