saida karoli alipotinga hollywood...na mengineyo ya bongo movie na zamaradi mketema wa clouds tv
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Saida Karoli anagombea jimbo gani?
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Saida Karoli, Kingwendu kutumbuiza ‘mateja’ Moro
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MSANII maarufu nchini, Saida Karoli na msanii waliyewahi kugombea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Rashid Mwinshehe, maarufu ‘Kingwendu’, wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la kuunganisha nguvu za jamii kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana.
Tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 20, limeandaliwa na viongozi wa dini wa Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na Kampuni ya Beula Communications, lengo likiwa ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/weU6hnG4QV4/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LYZrjK6etVfM*FxsQ1skXHX2Zdpe3FsfMWXKJY1rlONgNVFC4uTptjr-uEiMbyxoq5bV2P5A3LPPZ1NmmJa5T9RNih4rSY1s/1390187_714119705340090_527134959_n.jpg)
HAPPY BIRTHDAY ZAMARADI MKETEMA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U_OLKGKZtco/VbhpW9zDj2I/AAAAAAABS30/VvL6Fc5Ywr8/s72-c/13769_105078696170986_100000065695143_150328_1589888_n%255B1%255D.jpg)
DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-U_OLKGKZtco/VbhpW9zDj2I/AAAAAAABS30/VvL6Fc5Ywr8/s640/13769_105078696170986_100000065695143_150328_1589888_n%255B1%255D.jpg)
Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...
10 years ago
Bongo Movies13 Oct
Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:
“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Picha: Usaili wa kumtafuta mwigizaji wa filamu ya Zamaradi Mketema iitwayo ''MUKE YA MUZUNGU'' katika viwanja vya Leaders,Kinondoni
Mwigizaji Aunty Ezekiel akiwa na wasichana waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.
Geah Habib akiwa na washiriki waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.
Zamaradi Mketema akijadiliana kitu na Geaha Habib.