Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


saida karoli alipotinga hollywood...na mengineyo ya bongo movie na zamaradi mketema wa clouds tv

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Saida Karoli anagombea jimbo gani?

Mfumo wetu wa Bunge tulionao sasa hivi unaruhusu kila mtu kuingia bungeni kufuata anachokitaka yeye, badala ya wanachokitaka wananchi

 

9 years ago

Mtanzania

Saida Karoli, Kingwendu kutumbuiza ‘mateja’ Moro

Saida Karoli..NA MWANDISHI WETU, MOROGORO

MSANII maarufu nchini, Saida Karoli na msanii waliyewahi kugombea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Rashid Mwinshehe, maarufu ‘Kingwendu’, wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la kuunganisha nguvu za jamii kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana.

Tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 20, limeandaliwa na viongozi wa dini wa Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na Kampuni ya Beula Communications, lengo likiwa ni...

 

10 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY ZAMARADI MKETEMA

Hosti wa Program ya Take One kupitia Clouds TV, Zamaradi Mketema. Zamaradi Mketema katika…

 

10 years ago

Vijimambo

DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.

Kumekuwa hakuna maelewano mazuri katika ya watangazaji hawa wawili baada ya Dina Marious kusimamishwa kazi katika radio hiyo.

Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema

Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:

“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha: Usaili wa kumtafuta mwigizaji wa filamu ya Zamaradi Mketema iitwayo ''MUKE YA MUZUNGU'' katika viwanja vya Leaders,Kinondoni

Mwigizaji Aunty Ezekiel akiwa na wasichana waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.Geah Habib akiwa na washiriki waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.Zamaradi Mketema akijadiliana kitu na Geaha Habib.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani