Saida Karoli, Kingwendu kutumbuiza ‘mateja’ Moro
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MSANII maarufu nchini, Saida Karoli na msanii waliyewahi kugombea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Rashid Mwinshehe, maarufu ‘Kingwendu’, wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la kuunganisha nguvu za jamii kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana.
Tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 20, limeandaliwa na viongozi wa dini wa Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na Kampuni ya Beula Communications, lengo likiwa ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Saida Karoli anagombea jimbo gani?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/weU6hnG4QV4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UUWjgTaIuAg/VaQfLeZLyoI/AAAAAAAHpeo/aDRdxlTw8AQ/s72-c/20150713121927.jpg)
Mdau Saida Yunus Chui alamba nondozzz
![](http://2.bp.blogspot.com/-UUWjgTaIuAg/VaQfLeZLyoI/AAAAAAAHpeo/aDRdxlTw8AQ/s640/20150713121927.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7wySh95O88c/VaQfLWeyHhI/AAAAAAAHpek/VRZHCe9XKs8/s640/20150713121932.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvy4pHaGNp4/VaQfM2cZVnI/AAAAAAAHpew/mcqKITV68go/s640/201507131927.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PT6Ejaounl8/VaQfJRB1yuI/AAAAAAAHpec/RVZKt5yO1JE/s640/20150713121926.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Feb
PSPF watoa misaada kwa watoto yatima wa Karoli Lwanga
MFUKO wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF) umetoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vya shule vyenye thamani ya Sh milioni nne kwa Kituo cha watoto yatima katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga Parokia ya Yombo Dovya, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
SAIDA MASHAUZI: Nilivunja ndoa ili niendelee kuimba
MTOTO wa nyoka ni nyoka, wanasema wahenga. Hivi ndivyo inajidhihirisha kwa Saida Ramadhani Makongo maarufu kama Saida Mashauzi, mwimbaji nyota wa kundi la muziki wa taarabu la Mashauzi Classic la...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
11 years ago
Bongo Movies28 Jul
Mke wa Kingwendu Abakwa.
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko Mbagala Kingugi kwa Kisauti.
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya kuvamiwa na Upunguvuku anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa na kuingizwa kwenye jumba ambalo halijasha kujengwa ...
9 years ago
Bongo Movies27 Oct
Hongera Kingwendu Umepigana!
RASHID Mwinshehe Mzange ‘Kingwendu’ mgombea wa Ubunge kupitia CUF aliyekuwa akiungwa mkono na UKAWA afanya kazi nzuri baada ya kupata kura takribani 8,000 nyuma ya Mbunge aliyekuwa akitetea jimbo hilo kupitia chama cha CCM ndugu Seleiman Jafo.
Kingwendu ambaye ni msanii wa vichekesho Swahilihood ambaye ni kivutio katika tasnia ya filamu aliweza kuingia katika medani za kisiasa kuwania jimbo la Kisarawe kwa kujiamini kabisa bila uoga anastahili pongezi kama msanii.
Amaeleta upinzani kwa...