Hongera Kingwendu Umepigana!
RASHID Mwinshehe Mzange ‘Kingwendu’ mgombea wa Ubunge kupitia CUF aliyekuwa akiungwa mkono na UKAWA afanya kazi nzuri baada ya kupata kura takribani 8,000 nyuma ya Mbunge aliyekuwa akitetea jimbo hilo kupitia chama cha CCM ndugu Seleiman Jafo.
Kingwendu ambaye ni msanii wa vichekesho Swahilihood ambaye ni kivutio katika tasnia ya filamu aliweza kuingia katika medani za kisiasa kuwania jimbo la Kisarawe kwa kujiamini kabisa bila uoga anastahili pongezi kama msanii.
Amaeleta upinzani kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies28 Jul
Mke wa Kingwendu Abakwa.
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko Mbagala Kingugi kwa Kisauti.
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya kuvamiwa na Upunguvuku anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa na kuingizwa kwenye jumba ambalo halijasha kujengwa ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgjRg7L2UTlRoVNYvGIAW31LLybymiP6-nyaXdEm1BSmg8C11U1zjlNNPB8nTiuVAu-QtRd7v7F3-F*E85*pS3WE/5.jpg)
KINGWENDU AMSAMEHE ALIYEMBAKA MKEWE
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Picha: Kingwendu Alivyotikisa Kisarawe
Hizi ni baadhi ya picha za msanii wa filamu za vichekesho nchini, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ ambaye ni mgembea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya chama cha wananchi CUF alipokuwa akinadiwa na mgombea mwenza wa urasi kupitia CHADEMA, Juma Duni Haji hivi karibuni.
11 years ago
Michuzi26 Feb
KINGWENDU AJA NA FAZA HAUSI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhTyssiLU7*8koHto*MTKwZWSGURlFqjwPhjnDcEOepWyI*UW1NGN-zjcREDZLF-s5z8PqAAXcxTq9rDRs3f-J84/Kingwenduz.jpg)
UBUNGE KUMWACHISHA KINGWENDU UIGIZAJI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNrEPpfsRghW9uslmks-4Xeg0tb8p-ZL4rA3uehXMAh76d89tmqn-tXQ33mhJleVB8qSoPfhnIQIqAHyESKxbiS/1.jpg?width=650)
MATOKEO YAMPA PRESHA KINGWENDU
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/kingwendu.jpg?width=650)
KINGWENDU ACHUKUA FOMU YA UBUNGE
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Kingwendu aumezea mate ubunge 2015
MSANII wa filamu za vichekesho nchini, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’, amesema yupo katika mipango ya kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015. Akizungumza jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Kingwendu...