KINGWENDU AMSAMEHE ALIYEMBAKA MKEWE
![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgjRg7L2UTlRoVNYvGIAW31LLybymiP6-nyaXdEm1BSmg8C11U1zjlNNPB8nTiuVAu-QtRd7v7F3-F*E85*pS3WE/5.jpg)
Stori: Gladness Mallya/ijumaawikienda MSANII wa vichekesho Bongo, Rashidi Mwinshehe ‘Kingwendu’ amefunguka kwamba japokuwa alipata maumivu ya moyo baada ya jirani yake kumbaka mkewe, Mama Maua ameamua kumsamehe. MSANII wa vichekesho Bongo, Rashidi Mwinshehe ‘Kingwendu’. Akipiga stori na gazeti hili, Kingwendu alisema mara nyingi mkewe alikuwa kimwambia kuhusu jirani huyo kumtongoza lakini akawa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Sep
Aliyembaka mfanyakazi wa ndani jela miaka 30
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imemhukumu kwenda jela miaka 30 mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Mbwawa Steven Solomon (29) kwa kosa la kumbaka mfanyakazi wake wa nyumbani mwenye umri wa miaka 16.
11 years ago
Mwananchi23 May
Aliyembaka mtoto msikitini jela miaka 30
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKk-JL1XS8hbUF8b9QcSkmEmDTFtFbbdHefp7qtOJuQwXBlrCF5ZnTuNozcl05cFn-VZwoId0G4M-tuDRtXdtS7S/963553224e8230f75e11e49416e181221d5c3b.jpg)
BABA ALIYEMBAKA BINTI YAKE WA KAMBO AKAMATWA PARAGUAY
11 years ago
Bongo518 Jul
Video: Madee azungumzia sababu iliyofanya amsamehe Dogo Janja
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/dnUq4wUdQ_Q/default.jpg)
RAIS MAGUFULI AMSAMEHE ALIYEKUWA KAMISHNA JENERALI WA ZIMAMOTO, THOBIAS ANDENGENYE
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/102685206_3314322315267449_2035208893482706394_n-640x400.jpg)
10 years ago
CloudsFM31 Dec
PATCHO MWAMBA AMSAMEHE ALIMZUSHIA KUWA AMEPIGWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU
Msanii maarufu wa bendi na ambaye pia muigizaji wa Bongo Movie, Patcho Mwamba amemsamehe aliyemzushia kuwa amepigwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu kwenye hotel ya Sinza.
Kupitia Uheard ya Clouds fm na Soudy Brown Patcho alitangaza kuwa ataenda sambamba na wote waliomzushia kufumaniwa na kuingiliwa...
9 years ago
Bongo Movies27 Oct
Hongera Kingwendu Umepigana!
RASHID Mwinshehe Mzange ‘Kingwendu’ mgombea wa Ubunge kupitia CUF aliyekuwa akiungwa mkono na UKAWA afanya kazi nzuri baada ya kupata kura takribani 8,000 nyuma ya Mbunge aliyekuwa akitetea jimbo hilo kupitia chama cha CCM ndugu Seleiman Jafo.
Kingwendu ambaye ni msanii wa vichekesho Swahilihood ambaye ni kivutio katika tasnia ya filamu aliweza kuingia katika medani za kisiasa kuwania jimbo la Kisarawe kwa kujiamini kabisa bila uoga anastahili pongezi kama msanii.
Amaeleta upinzani kwa...
11 years ago
Bongo Movies28 Jul
Mke wa Kingwendu Abakwa.
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko Mbagala Kingugi kwa Kisauti.
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya kuvamiwa na Upunguvuku anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa na kuingizwa kwenye jumba ambalo halijasha kujengwa ...