Aliyembaka mfanyakazi wa ndani jela miaka 30
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imemhukumu kwenda jela miaka 30 mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Mbwawa Steven Solomon (29) kwa kosa la kumbaka mfanyakazi wake wa nyumbani mwenye umri wa miaka 16.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Dec
Mfanyakazi wa ndani ya Uganda afungwa miaka minne jela
10 years ago
Vijimambo15 Dec
MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AENDA JELA MIAKA 4
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tuI60C5jJXhkQduOvSlOs9UXQWxFg7foWZRDRxOppckSNAG928HWlFyC3MlN1wKC9roO9WjN9Q-eNQhZddd*WiU/hausigeli.jpg)
HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tuD-AtotXeNYmjuTLjr-m9h*kJgyjlTC4ss*n9B23EqmSNwGrl34zAK1EIf2FJeZgxFUgm73DmXesiLsbsAP48U/Monstermaidkicks.png)
Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
11 years ago
Mwananchi23 May
Aliyembaka mtoto msikitini jela miaka 30
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Mfanyakazi wa ndani atoweka na kichanga
Mwingine aiba mtoto wa miaka
miwili, amtelekeza barabarani
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
WIMBI la wizi wa watoto sasa limeanza kushika kasi nchini, ambapo watumishi wawili wa ndani kwa nyakati na maeneo tofauti, wametoweka na watoto wa waajiri wao.
Miongoni mwa watoto walioibwa, yupo mwenye umri wa miezi tisa na mwingine miaka miwili na nusu. Kati ya hao, mmoja amepatikana akiwa ametelekezwa barabarani.
Watumishi hao walikuwa wakiwalea watoto hao, ambapo waliofanikiwa kuwaiba wazazi wao wakiwa kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oa7kqt2qaUw/XmjNIDydUlI/AAAAAAALilM/5eEHKrCBsGAna30qUs7C__vJX76nTeddgCLcBGAsYHQ/s72-c/w600-p16x9-6f499fca07ff9fe7031ef4e00bd8791338dc7860.jpg)
WANAMKE ADAIWA KUUWA MFANYAKAZI WA NDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oa7kqt2qaUw/XmjNIDydUlI/AAAAAAALilM/5eEHKrCBsGAna30qUs7C__vJX76nTeddgCLcBGAsYHQ/s640/w600-p16x9-6f499fca07ff9fe7031ef4e00bd8791338dc7860.jpg)
Mwanamke huyo ambaye anashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa,anadaiwa kutenda tukio la kumshambulia binti huyo siku ya Alhamis wiki iliyopita na baadaye alimfungia katika chumba kimoja wapo katika nyumba yake kwa muda wa siku mbili bila...
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpNRFDI46MPwRW9lsetooNW0bjk2BCNei7g4krMIhlHa5zq60zKXw8IXQrumr-yKtcZNwkhPikh3GyN7whQ5-J0S/BOS.jpg?width=650)
BOSI ADAIWA KUMKATA MAPANGA MFANYAKAZI WA NDANI
11 years ago
Habarileo03 Jul
Mfaransa atuhumiwa kumdhuru mfanyakazi wake wa ndani
RAIA wa Ufaransa , Folkertsma Laurent (41), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, jijini Dar es Salaam, kujibu mashitaka ya kumdhuru mfanyakazi wake wa ndani.
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Mfanyakazi wa ndani aliyetwaa tuzo ya Malkia Elizaberth