Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyembaka mtoto msikitini jela miaka 30

>Mahakama ya Wilaya ya Liwale, Lindi imemhukumu Mussa Chande kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Kawawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Aliyembaka mfanyakazi wa ndani jela miaka 30

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imemhukumu kwenda jela miaka 30 mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Mbwawa Steven Solomon (29) kwa kosa la kumbaka mfanyakazi wake wa nyumbani mwenye umri wa miaka 16.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto jela miaka 30

MKAZI wa Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Changarawe Madula Balale (30) ameanza kutumikia kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kubaka na kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume wa miaka minane.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto wa kambo jela miaka 70

MKAZI wa kijiji cha Mtisi, Kata ya Sitalike wilayani Mlele, Forensi Alberto (34) ametupwa jela miaka 70 kwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake kambo mwenye umri wa miaka kumi.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto atupwa jela miaka 30

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa Madibira wilayani hapa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

Habarileo

Miaka 15 jela kwa kuchezea nyeti za mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Hassan Suleiman (23) mkazi wa Kitunda, kwa kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mtoto wa miaka mitatu kwa kumchezea sehemu zake za siri kwa vidole.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke aliyemtesa mtoto atupwa jela miaka 3

MWANAMKE mkazi wa Kata ya Iyela jijini hapa, Mwanahawa Nassoro (32) amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kunyanyasa na kumtesa mtoto. Mwanamke huyo alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Mbeya mjini jana, akikabiliwa na shitaka la kumtesa mtoto, John Paul (3) ambaye ni mtoto wa kaka yake.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto wa miaka 6 atupwa jela maisha

MFANYAKAZI wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Miaka 130 jela kumuambukiza mtoto Ukimwi

Mahakama mjini Kisumu Kenya imemhukumu kifungo cha miaka 130 mtu mmoja aliyemdhulumu mtoto na kumuambukiza ukimwi

 

10 years ago

Habarileo

Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka

MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani