Aliyelawiti mtoto jela miaka 30
MKAZI wa Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Changarawe Madula Balale (30) ameanza kutumikia kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kubaka na kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume wa miaka minane.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Mar
Aliyelawiti mtoto wa kambo jela miaka 70
MKAZI wa kijiji cha Mtisi, Kata ya Sitalike wilayani Mlele, Forensi Alberto (34) ametupwa jela miaka 70 kwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake kambo mwenye umri wa miaka kumi.
10 years ago
Habarileo07 Jan
Aliyelawiti mtoto atupwa jela miaka 30
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa Madibira wilayani hapa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
10 years ago
Habarileo27 Dec
Aliyelawiti mtoto wa miaka 6 atupwa jela maisha
MFANYAKAZI wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.
11 years ago
Mwananchi23 May
Aliyembaka mtoto msikitini jela miaka 30
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Miaka 130 jela kumuambukiza mtoto Ukimwi
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mwanamke aliyemtesa mtoto atupwa jela miaka 3
MWANAMKE mkazi wa Kata ya Iyela jijini hapa, Mwanahawa Nassoro (32) amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kunyanyasa na kumtesa mtoto. Mwanamke huyo alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Mbeya mjini jana, akikabiliwa na shitaka la kumtesa mtoto, John Paul (3) ambaye ni mtoto wa kaka yake.
10 years ago
Habarileo10 Sep
Miaka 15 jela kwa kuchezea nyeti za mtoto
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Hassan Suleiman (23) mkazi wa Kitunda, kwa kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mtoto wa miaka mitatu kwa kumchezea sehemu zake za siri kwa vidole.
10 years ago
Habarileo23 Feb
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
10 years ago
Habarileo13 Mar
Atupwa jela miaka 30 kwa kumsaidia mtoto kubaka
MAMA aliyemsaidia mwanawe kubaka , Regina Kigelulye, ametupwa jela miaka 30 sawa na mtoto wake ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kubaka, Sagimembe Mroso.