KINGWENDU AJA NA FAZA HAUSI
MSANII wa filamu nchini Athumani Lali 'Budege' baada ya kucheza filamu za watu sasa ameamua kuja na filamu zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzie kuwa na kipato kizuri baada ya kuamua kufungua kampuni yake binafsi inayokwenda kwa jina la AJM Entatainment ambayo ina husika na maswala ya filamu za kibongo
Athumani Lali 'Budege'
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Lali amesema kuwa kwa sasa yupo katika atua za mwisho kwa ajili ya kutoa filamu mpya inayokwenda kwa jina la Faza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
AJM yaja na ‘Faza Hausi’
MSANII wa filamu nchini, Athumani Lali ‘Budege’, baada ya kushirikishwa katika filamu za watu, sasa ameamua kuja na kazi zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzake kuwa na kipato kizuri baada...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Mitikasi ya maza hausi samtaimz ni mikosi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoPvD-jfp2XLgom7AELgSfVJA70Xx8DchIrV25XAlGoPohqPqwiWqZsweoyvnZ6o-wosuWu0-Qe02uChnACCo2*/pekk700.gif?width=650)
MASELA OKOENI JAHAZI HAUSI YA JIRANI INAUNGUA!
11 years ago
Bongo Movies28 Jul
Mke wa Kingwendu Abakwa.
MKE wa Kingwendu ambaye ni muigizaji maarufu wa filamu za vichekesho nchini amefanyiwa kitendo kibaya cha ubakaji na mwanaume aliyefahamika kama Upunguvuku katika pagala moja huko Mbagala Kingugi kwa Kisauti.
Mke wa Kingwendu anayejulikana zaidi kwa jina la mama Maua, alikutwa na masahibu hayo Alhamisi iliyopita baada ya kuvamiwa na Upunguvuku anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa na kuingizwa kwenye jumba ambalo halijasha kujengwa ...
9 years ago
Bongo Movies27 Oct
Hongera Kingwendu Umepigana!
RASHID Mwinshehe Mzange ‘Kingwendu’ mgombea wa Ubunge kupitia CUF aliyekuwa akiungwa mkono na UKAWA afanya kazi nzuri baada ya kupata kura takribani 8,000 nyuma ya Mbunge aliyekuwa akitetea jimbo hilo kupitia chama cha CCM ndugu Seleiman Jafo.
Kingwendu ambaye ni msanii wa vichekesho Swahilihood ambaye ni kivutio katika tasnia ya filamu aliweza kuingia katika medani za kisiasa kuwania jimbo la Kisarawe kwa kujiamini kabisa bila uoga anastahili pongezi kama msanii.
Amaeleta upinzani kwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhTyssiLU7*8koHto*MTKwZWSGURlFqjwPhjnDcEOepWyI*UW1NGN-zjcREDZLF-s5z8PqAAXcxTq9rDRs3f-J84/Kingwenduz.jpg)
UBUNGE KUMWACHISHA KINGWENDU UIGIZAJI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNrEPpfsRghW9uslmks-4Xeg0tb8p-ZL4rA3uehXMAh76d89tmqn-tXQ33mhJleVB8qSoPfhnIQIqAHyESKxbiS/1.jpg?width=650)
MATOKEO YAMPA PRESHA KINGWENDU
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Picha: Kingwendu Alivyotikisa Kisarawe
Hizi ni baadhi ya picha za msanii wa filamu za vichekesho nchini, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ ambaye ni mgembea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya chama cha wananchi CUF alipokuwa akinadiwa na mgombea mwenza wa urasi kupitia CHADEMA, Juma Duni Haji hivi karibuni.