Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASELA OKOENI JAHAZI HAUSI YA JIRANI INAUNGUA!

Oyo! Inakuwa nini masela wangu wa nguvu hapo kwa fasi ya kitaa cha bee? Saidi hii mambo ni mpeto wa kutakata kama kawiz. Wanangu wa kitaa cha Bukoba poleni kinoma kwa kumlosti mzazi jembe mwanangu mwenyewe Stive. Dah! Msela alikuwa bonge la kichwa kilichomaindi maendeleo so tumuenzi kwa kuanzia pale alipoishia. Tupo pamoko kwa sana machalii. Ebana hivi hayo maishu ya eskro si ni kurudishana bihaindi makachaa? Bati kusema ukweli...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Akudo Impact, Mashujaa Music na Jahazi Modern Taarab kusindikiza uzinduzi wa Albam ya Tarsis Masela

BENDI mbili za muziki wa dansi, Akudo Impact, Mashujaa Music pamoja na kundi la mahiri la muziki wa taarab la Jahazi Modern Classic vitasindikiza uzinduzi wa albamu mpya wa msanii, Tarsis Masela (pichani katikati) unaotarajiwa kufanyika Novemba 21 kwenye ukumbi wa Ten Lounge jijini Dar es Salaam. 
Akizungumza jijini Dar es salam leo , Meneja wa mwanamuziki huyo, Ray Matata, alisema kuwa maandalizi ya uzinduzi huo yamekamilika na bendi zote tatu zimethibitisha kutoa burudani siku ya uzinduzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vunjeni Bunge la Katiba, okoeni fedha zetu

KWA waliofutatilia na kusikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ya zaidi ya saa mbili  kwa Bunge la Katiba (CA) kule Dodoma watakubaliana nasi kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AJM yaja na ‘Faza Hausi’

MSANII wa filamu nchini, Athumani Lali ‘Budege’, baada ya kushirikishwa katika filamu za watu, sasa ameamua kuja na kazi zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzake kuwa na kipato kizuri baada...

 

11 years ago

Michuzi

KINGWENDU AJA NA FAZA HAUSI

MSANII wa filamu nchini Athumani Lali 'Budege' baada ya kucheza filamu za watu sasa ameamua kuja na filamu zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzie kuwa na kipato kizuri baada ya kuamua kufungua kampuni yake binafsi inayokwenda kwa jina la AJM Entatainment ambayo ina husika na maswala ya filamu za kibongo Athumani Lali 'Budege' Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Lali amesema kuwa kwa sasa yupo katika atua za mwisho kwa ajili ya kutoa filamu mpya inayokwenda kwa jina la Faza...

 

10 years ago

Mwananchi

Mitikasi ya maza hausi samtaimz ni mikosi

Wazee, mwanangu Jeba anatafuta hauzi ya kupanga. Kama kuna docho mnalijua liko aido, nistueni nikamhamishe. Siku ya tatu leo anapiga mbonji gesti, kazinguana na lendilodi wake, ..akampa kubwa, hapa anasakwa na Polisi.

 

9 years ago

GPL

OYAA MASELA... YATIMA HADEKI!

Wanangu wa kitaani kwa fasi ya kijiweni inakuwa nini wazazi wenyewe? Si ni mpango mzima? Basi barida. Kama vepe sogea kwa saidi hii upate maudambwidambwi au mnabonga nene arifu? Basi mia! Welikamu kwa sana majembe yangu. Wanangu nasikia kitu cha matumbo joto kwa wanene kwenye sekta nyeti kwa gavamenti kozi jamaa hakai kwa ofisi kama viongozi wengine. Ishu ni kuwashtukiza tu wana kuona kama mingo zinakwenda kimpango au magumashi?...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tarsis Masela — Usingizi

Video mpya ya msanii Tarsis Masela wimbo unaitwa “Usingizi” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA KILEJI MOJA HIYO!

Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi yakoje? Maana kama sielewielewi hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu itakuwaje wazazi? Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa jamvini. Kwanza kulikuwa na mchongo wa Mtani Jembe dheni zikaibuka ishu za mauchaguzi za serikali za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani