Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYAA MASELA... YATIMA HADEKI!

Wanangu wa kitaani kwa fasi ya kijiweni inakuwa nini wazazi wenyewe? Si ni mpango mzima? Basi barida. Kama vepe sogea kwa saidi hii upate maudambwidambwi au mnabonga nene arifu? Basi mia! Welikamu kwa sana majembe yangu. Wanangu nasikia kitu cha matumbo joto kwa wanene kwenye sekta nyeti kwa gavamenti kozi jamaa hakai kwa ofisi kama viongozi wengine. Ishu ni kuwashtukiza tu wana kuona kama mingo zinakwenda kimpango au magumashi?...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tuna imani naye Chenge…oyaa, oyaa!

NIKIWA mmoja wa waandishi waliopata bahati ya kuripoti habari za Bunge Maalum la Katiba (BMK), jambo kumbwa nililojifunza kwa wajumbe kwa ujumla wao wakubwa kwa wadogo ni ‘unafiki’. Mnafiki ni...

 

11 years ago

GPL

OYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?

Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...

 

10 years ago

GPL

OYAA PANYA ROAD, MNAJUA MNATUZINGUA WANA!

NI kwa blesi za Saa God makachaa tunamiti wansi ageini katika kijiwe chetu cha kujipa maraha, ama nini? Najua kitu cha mwezi dume, apecha alolo ndo kinasogea kwa mbaliii. Makidi wanataka kwenda skonga, fulu kutaka mazagazaga ya skuli nini na nini, shigidishida! Mbaya zaidi wao hawajui kama jua limewakia mifukoni, mifuko imetoboka chezea mbishe za Sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya! Wao wanakomaa tu ili watimize wajibu wao wa...

 

11 years ago

GPL

OYAA... FUATA ONYO FANYA MAMBO YA MTONYO!

Oyooo...Masela inakuwaje? Kitaa hii mzuka mwingi hadi unamwagika. Ama nini? Wanangu kitu cha Pasaka kilienda freshi? Ebana nilikuwa na mialiko ya maminuso hadi nimebaki na malawama ya kumwaga kozi nilifeli kutimba. Wamenimaindije? Unajua nini kilihapeni? Ebana dah! Kaka mkubwa nilifungiwa na shemeji yenu kwenye hoteli moko ushuani. Ishu ikawa ni kupiga tu mbizi kwenye swiming puuli kisha madikodiko na mvinyo kwa mbaali...noma...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tarsis Masela — Usingizi

Video mpya ya msanii Tarsis Masela wimbo unaitwa “Usingizi” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA KILEJI MOJA HIYO!

Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi yakoje? Maana kama sielewielewi hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu itakuwaje wazazi? Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa jamvini. Kwanza kulikuwa na mchongo wa Mtani Jembe dheni zikaibuka ishu za mauchaguzi za serikali za...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA... SAILENTI MESEJI SENTI!

Oya masela inakuwaje hapo kwa fasi ya kitaa? Ama nini? Kipande hii mia arifu. Kama vipi tupige dauni mastori moo ya yule misi bomba wa mwaka huu na almasi ambaye alikula za uso pale Lidazi daadeki.
Kilinukaje? Unaleta nyodo kwa watoto wa mbwa? Utakula mayai viza fasta arifu. Unamanya kwamba wanaokupaisha ndo haohao watakaokupiga dauni mwana? Eti nabii hakubaliki kwao? Teeh…teeh! Kaa humu wewe upate kitu roho inataka....

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA SASA HIVI NI MWENDO WA VIPARA!

Mambo vipi wanangu wenyewe? Mzuka? Kitaa hiyo kwa ndichi hapo kati inakuwa nini? Kipande hii haiwi kitu. Hapa vumbi tu kama vipi karibu kwa jamvini rede kukisanua. Kwani kuna tatizo? Hakuna tatizo!
Festi sharauti ziende kwa masela na washikaji zangu wote mlioibuka pale kati Uwanja wa Taifa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini. Aisee siyo sekreti ilikuwa mzuksi hatare sana. Bata zilipigwa hadi kuku wakaona mawivu daadeki! Bigi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani