Tuna imani naye Chenge…oyaa, oyaa!
NIKIWA mmoja wa waandishi waliopata bahati ya kuripoti habari za Bunge Maalum la Katiba (BMK), jambo kumbwa nililojifunza kwa wajumbe kwa ujumla wao wakubwa kwa wadogo ni ‘unafiki’. Mnafiki ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9aQf-qs4m5xV7PVeF*zFWk5LouW8SkB7MCYi2ZECkk5oUq4tSKSrpSVjw9fl2XMJ6zddly*fPtTHqvWweu5YrzWTL2-l*gu0/mpeke.jpg?width=650)
OYAA MASELA... YATIMA HADEKI!
Wanangu wa kitaani kwa fasi ya kijiweni inakuwa nini wazazi wenyewe? Si ni mpango mzima? Basi barida. Kama vepe sogea kwa saidi hii upate maudambwidambwi au mnabonga nene arifu? Basi mia! Welikamu kwa sana majembe yangu. Wanangu nasikia kitu cha matumbo joto kwa wanene kwenye sekta nyeti kwa gavamenti kozi jamaa hakai kwa ofisi kama viongozi wengine. Ishu ni kuwashtukiza tu wana kuona kama mingo zinakwenda kimpango au magumashi?...
11 years ago
GPLOYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?
Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6iPlAqCFTS62WDKXn0cg10OVxBhFg2RQjUbG6iOnF7iuxaCp1hIl3CG9hsnBqT1lKQPxbc0nNB54zi7zKXTgxT/ddkkcopy.jpg)
OYAA PANYA ROAD, MNAJUA MNATUZINGUA WANA!
NI kwa blesi za Saa God makachaa tunamiti wansi ageini katika kijiwe chetu cha kujipa maraha, ama nini? Najua kitu cha mwezi dume, apecha alolo ndo kinasogea kwa mbaliii. Makidi wanataka kwenda skonga, fulu kutaka mazagazaga ya skuli nini na nini, shigidishida! Mbaya zaidi wao hawajui kama jua limewakia mifukoni, mifuko imetoboka chezea mbishe za Sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya! Wao wanakomaa tu ili watimize wajibu wao wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0D1GkiWX7xmkyZZSZfLymoEHv8ugHg*1nebFC56hd1h-DPWnWL0Vcq2*MIp7eC9WjEBEElnJx1RBYO0gB9*v5I/mpeke.jpg?width=650)
OYAA... FUATA ONYO FANYA MAMBO YA MTONYO!
Oyooo...Masela inakuwaje? Kitaa hii mzuka mwingi hadi unamwagika. Ama nini? Wanangu kitu cha Pasaka kilienda freshi? Ebana nilikuwa na mialiko ya maminuso hadi nimebaki na malawama ya kumwaga kozi nilifeli kutimba. Wamenimaindije? Unajua nini kilihapeni? Ebana dah! Kaka mkubwa nilifungiwa na shemeji yenu kwenye hoteli moko ushuani. Ishu ikawa ni kupiga tu mbizi kwenye swiming puuli kisha madikodiko na mvinyo kwa mbaali...noma...
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
‘Tuna imani na Askofu Massangwa’
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, wamesema Askofu Mteule Solomon Massangwa ni chaguo la Mungu na hawana shaka naye.
Massangwa alichaguliwa juzi, kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo baada ya kupata kura 261 kati ya kura 263, sawa na asilimia 99.98 na msaidizi wake, Mchungaji Gidion Kivuyo alipata kura 242 kati ya kura 263.
Uchaguzi huo ulifanyika juzi, katika Shule ya Sekondari Peace House iliyoko Kata ya Mtevesi wilayani,...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Kilimanjaro: Tuna imani na uwazi TFF
WADHAMINI wa timu ya taifa, Kilimanjaro Premium Lager, wameonyesha kuridhishwa na uwazi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), katika kuendesha masuala ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’. Hayo yamesemwa na...
9 years ago
Bongo521 Aug
Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga
Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga amesema kuwa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulifungulia shindano hilo, sasa wana kazi kubwa ya kurudisha imani kwa mashabiki na wadhamini. “Sisi kama Lino International Agency Ltd tumepokea taarifa za kufunguliwa kwa mashindano ya Miss Tanzania kwa furaha sana, […]
10 years ago
Vijimambo20 Jun
MWIGULU NCHEMBA ADHAMINIWA MKOA WA NJOMBE,RUVUMA NA IRINGA,WANACCM WAENDELEA KUONESHA IMANI NAYE
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10154488_393433750858859_1819128764566284821_n.jpg?oh=4eaef34ca377728f3c95cdf42ad5d5f4&oe=55E7B28A)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10392466_393434047525496_2176990702918682452_n.jpg?oh=65836cc0b12952defe7cfa0f7f29cd28&oe=56234584)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10494595_393433774192190_3210889557090001643_n.jpg?oh=35f34d65058ca79775f067ca557a2ba5&oe=562C3F3D&__gda__=1445740677_fab1e291b8a415e599d69bca8e8b227e)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/67295_393433654192202_3850292501056272046_n.jpg?oh=ec129fe8283e80a8ff43e41d7a66d1ed&oe=5625894E)
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
Makala: Ojuku Abraham
KAMA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere angekuwa bado anatawala nchi hii, ni watu wachache sana wangeweza kulijua jina la Andrew Chenge, yule mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali, aliyekaa katika ofisi hiyo kubwa na yenye heshima, kuanzia mwaka 1993 hadi 2005. Lakini katika nchi ambayo inaendeshwa kwa hila na dili, jina hili linajipatia umaarufu na kuenziwa, bila kujali ni kwa kiasi gani, Watanzania zaidi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania