Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYAA... FUATA ONYO FANYA MAMBO YA MTONYO!

Oyooo...Masela inakuwaje? Kitaa hii mzuka mwingi hadi unamwagika. Ama nini? Wanangu kitu cha Pasaka kilienda freshi? Ebana nilikuwa na mialiko ya maminuso hadi nimebaki na malawama ya kumwaga kozi nilifeli kutimba. Wamenimaindije? Unajua nini kilihapeni? Ebana dah! Kaka mkubwa nilifungiwa na shemeji yenu kwenye hoteli moko ushuani. Ishu ikawa ni kupiga tu mbizi kwenye swiming puuli kisha madikodiko na mvinyo kwa mbaali...noma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tuna imani naye Chenge…oyaa, oyaa!

NIKIWA mmoja wa waandishi waliopata bahati ya kuripoti habari za Bunge Maalum la Katiba (BMK), jambo kumbwa nililojifunza kwa wajumbe kwa ujumla wao wakubwa kwa wadogo ni ‘unafiki’. Mnafiki ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukitaka kufanikiwa fanya mambo kwa vitendo

Kheri ya Mwaka mpya mpendwa msomaji wangu, kwa hakikika tunapaswa kumshukuru sana Mungu kutokana na ukweli kwamba haikuwa rahisi kuuvuka mwaka, wapo wenzetu ambao hawakuweza japo walipenda.

 

9 years ago

GPL

OYAA MASELA... YATIMA HADEKI!

Wanangu wa kitaani kwa fasi ya kijiweni inakuwa nini wazazi wenyewe? Si ni mpango mzima? Basi barida. Kama vepe sogea kwa saidi hii upate maudambwidambwi au mnabonga nene arifu? Basi mia! Welikamu kwa sana majembe yangu. Wanangu nasikia kitu cha matumbo joto kwa wanene kwenye sekta nyeti kwa gavamenti kozi jamaa hakai kwa ofisi kama viongozi wengine. Ishu ni kuwashtukiza tu wana kuona kama mingo zinakwenda kimpango au magumashi?...

 

11 years ago

GPL

OYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?

Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...

 

10 years ago

GPL

OYAA PANYA ROAD, MNAJUA MNATUZINGUA WANA!

NI kwa blesi za Saa God makachaa tunamiti wansi ageini katika kijiwe chetu cha kujipa maraha, ama nini? Najua kitu cha mwezi dume, apecha alolo ndo kinasogea kwa mbaliii. Makidi wanataka kwenda skonga, fulu kutaka mazagazaga ya skuli nini na nini, shigidishida! Mbaya zaidi wao hawajui kama jua limewakia mifukoni, mifuko imetoboka chezea mbishe za Sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya! Wao wanakomaa tu ili watimize wajibu wao wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fuata misingi sio watu

p>MEI mwaka 2003 tukiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tulitembelewa na mgeni kutoka Chama cha SWAPO cha Namibia. Wakati huo nchini Namibia (na Afrika kwa ujumla) kulikuwa kuna mjadala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fuata misingi sio watu — 3

KATIKA mfululizo wa makala hizi za ZITTO KABWE zilizochapwa kwa mara ya kwanza katika gazeti hili miezi michache iliyopita, wiki iliyopita tumeona ufuasi wa misingi ya Chama cha Demorasia na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fuata Misingi sio watu — 2

Katika makala iliyopita tuliona Mbunge wa Kawe Halima Mdee, alivyofanikiwa kupitisha hoja bungeni yenye kutaka tathmini ya ardhi na ugawaji wa ardhi hapa nchini. Ardhi ndio rasilimali pekee ambayo kila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani