OYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?
Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6iPlAqCFTS62WDKXn0cg10OVxBhFg2RQjUbG6iOnF7iuxaCp1hIl3CG9hsnBqT1lKQPxbc0nNB54zi7zKXTgxT/ddkkcopy.jpg)
OYAA PANYA ROAD, MNAJUA MNATUZINGUA WANA!
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Wasanii mnajua kuna tatizo la ajira, mnaheshimu kazi zenu?
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Tuna imani naye Chenge…oyaa, oyaa!
NIKIWA mmoja wa waandishi waliopata bahati ya kuripoti habari za Bunge Maalum la Katiba (BMK), jambo kumbwa nililojifunza kwa wajumbe kwa ujumla wao wakubwa kwa wadogo ni ‘unafiki’. Mnafiki ni...
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Je kuna nini kilomita 5 chini ya bahari ?
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
kuna nini Tanzania mwaka huu
Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]
The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Kuna nini baadhi ya shule zimefaulisha, zimefelisha?
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?
MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...
10 years ago
Vijimambo28 Dec
KUNA NINI AIRASIA NDEGE NYINGINE IKIWA NA ABIRIA 160 YA POTEA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/28/141228042821_airasia_640x360_afp_nocredit.jpg)
Shirika la ndege la AirAsia linasema kuwa limeanzisha shughuli ya kuitafuta ndege yake iliyopoteza mawasiliano na kituo cha kuelekeza safari za ndege dakika 45 baada ya kuondoka kwenye mji wa Surabaya nchini Indonesia.Zadi ya watu 160 walikuwa ndani ya ndege hiyo ya Airbus 320 iliyokuwa safarini kwenda nchini Singapore.
Wengi wa abiria waliokuwa ndani ya ndege hiyo wanatoka nchini Indonesia.
Msemaji wa wizara ya usafiri nchini Indonesia amesema mawasiliano yalipotea kati ya...
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?