Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?
Tukio kama hili ni la kawaida katika eneo la kusini zaidi la dunia la Antarctic wakati wa msimu wa joto, lakini katika eneo la baridi la kaskazini si la kawaida.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Shimo kubwa kuwahi kutokea katika tabaka la ozoni la Arctic lajifunga
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Juhudi za serikali kukabili kuharibika kwa tabaka la ozoni
TABAKA la Ozoni ni mlinzi wa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Tabaka hili ni kama blanketi au mwavuli kati ya jua na uso wa dunia ambalo hutukinga...
11 years ago
Michuzi11 Mar
elimu kwa umma juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi ili kulinda tabaka la Ozoni.
![](https://4.bp.blogspot.com/-WD21MQSvl8A/Ux8LVpmP0-I/AAAAAAACrOg/jTWoybng280/s1600/DSC0100.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-m-lcn_oUUeI/Ux8KQqRmUFI/AAAAAAACrOI/uUcYZ9e6Aks/s1600/DSC0076.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-XQ3d6P71Jyg/Ux8Kdxl1hSI/AAAAAAACrOQ/PrsAI3EeFD8/s1600/DSC0119.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Sep
Kemikali zinazomong’onyoa tabaka la ozoni zapunguzwa
UZALISHAJI wa kemikali zinazomong’onyoa tabaka la hewa ya ozoni umepunguzwa kwa asilimia 98 duniani, imeelezwa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QEOTbQJ5XdM/VA2wQPlymCI/AAAAAAAGh4w/9Cq9yglWN3E/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
serikali yajipanga kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni nchini
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Coronavirus: Kwa nini kuna hali ya sintofahamu katika mpaka wa Namanga na Holili?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wingu lisilo la kawaida linalosafiri kilomita 10,000 kutoka Afrika hadi Amerika
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia!
Miezi kadhaa iliyopita, Chris Brown aliziandika headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa kuna mwanamke alivamia nyumba yake na kujikaribisha mpka ndani pamoja na kuchora kuta za nyumba za staa huyo na maandishi yaliyosema ‘I Love You Chris’… hiyo ilikuwa miezi saba iliyopita, kuna nyingine mpya inayofanana na hiyo pia! Siku ya jumanne tarehe 22 December […]
The post Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia! appeared first on...