Coronavirus: Kwa nini kuna hali ya sintofahamu katika mpaka wa Namanga na Holili?
Mipaka miwili ya Tanzania na Kenya eneo la Namanga na Holili imefungwa tena baada ya kuibuka hali ya sintofahamu kuhusu utekelezaji wa makubaliano yaliyowekwa kati ya nchi hizo mbili
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kwa nini bei ya juisi ya machungwa katika soko la dunia imepanda?
9 years ago
MillardAyo04 Jan
TFDA walivyonasa mzigo wa magendo ulioingizwa kwenye mpaka wa Namanga Arusha..
Kumekuwa na stori kuhusu ishu Mamlaka ya Dawa na Chakula, TFDA kuingia kwenye kona mbalimbali za Tanzania na kukamata vipodozi vyenye viambata vya sumu pamoja na vile ambavyo vimepigwa marufuku. Meneja wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kanda ya kaskazini, Damasi Matiko ametusogezea ripoti jinsi ambavyo walinasa vipodozi hivyo Arusha >>> ‘Dawa hizo zilikamatwa […]
The post TFDA walivyonasa mzigo wa magendo ulioingizwa kwenye mpaka wa Namanga Arusha.. appeared first on...
5 years ago
MichuziARUSHA KUANZISHA UTARATIBU WA KUCHUKUA SAMPULI NA KUWAPIMA MADEREVA WA MALORI MPAKA WA NAMANGA
Mkoa wa Arusha umeona umuhimu wa kuanzisha utaratibu wa kuchukua sampuli na kuwapima madereva wa Malori yanayopita mpaka wa Namanga mkoani Arusha wakitokea nchi jirani ya Kenya kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19.
Mkuu wa mkoa huo Mrisho Gambo amesema kuwa Sampuli zote zinazochukuliwa na wataalam wa Afya zimekuwa zinapelekwa Maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa ajili ya kupata majibu ya vipimo husika.
Tumechukua uamuzi huu ili kuwalinda wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Yanga! Kwa nini mpaka Simba ianze?
NI Jumatatu nyingine tulivu kabisa ya mwezi Juni, ulio katikati ya mwaka, mwezi unaoelemewa na baridi karibu sehemu kubwa ya nchi yetu. Ni kati ya miezi ambayo michuano ya Kombe...
10 years ago
GPLHALI ILIVYO MPAKA SASA NYUMBANI KWA ALLY CHOKI
9 years ago
VijimamboHALI YA SINTOFAHAMU YAENDELEA KUTAWALA NDANI YA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia!
Miezi kadhaa iliyopita, Chris Brown aliziandika headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa kuna mwanamke alivamia nyumba yake na kujikaribisha mpka ndani pamoja na kuchora kuta za nyumba za staa huyo na maandishi yaliyosema ‘I Love You Chris’… hiyo ilikuwa miezi saba iliyopita, kuna nyingine mpya inayofanana na hiyo pia! Siku ya jumanne tarehe 22 December […]
The post Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia! appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Watu watarejea lini katika hali ya kawaida?