Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARUSHA KUANZISHA UTARATIBU WA KUCHUKUA SAMPULI NA KUWAPIMA MADEREVA WA MALORI MPAKA WA NAMANGA

Na.Vero Ignatus,Arusha.
Mkoa wa Arusha umeona umuhimu wa kuanzisha utaratibu wa kuchukua sampuli na kuwapima madereva wa Malori yanayopita mpaka wa Namanga mkoani Arusha wakitokea nchi jirani ya Kenya kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19.
Mkuu wa mkoa huo Mrisho Gambo amesema kuwa Sampuli zote zinazochukuliwa na wataalam wa Afya zimekuwa zinapelekwa Maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa ajili ya kupata majibu ya vipimo husika.
Tumechukua uamuzi huu ili kuwalinda wananchi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DKT. MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI, NAMANGA

Na WAMJW- Arusha.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba.

Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya...

 

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. GODWIN MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI NAMANGA

  Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba.

Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.

Dkt....

 

9 years ago

MillardAyo

TFDA walivyonasa mzigo wa magendo ulioingizwa kwenye mpaka wa Namanga Arusha..

Kumekuwa na stori kuhusu ishu Mamlaka ya Dawa na Chakula, TFDA kuingia kwenye kona mbalimbali za Tanzania na kukamata vipodozi vyenye viambata vya sumu pamoja na vile ambavyo vimepigwa marufuku. Meneja wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kanda ya kaskazini, Damasi  Matiko ametusogezea ripoti jinsi ambavyo walinasa vipodozi hivyo Arusha >>> ‘Dawa hizo zilikamatwa […]

The post TFDA walivyonasa mzigo wa magendo ulioingizwa kwenye mpaka wa Namanga Arusha.. appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM TANAZANIA YAENDESHA ZOEZI LA KUWAPIMA KIWANGO CHA KILEVI MADEREVA JIJINI ARUSHA

Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi, Manase Temaeli, dereva wa gari la Machame Safari lenye namba za usajili T 742 BDE ,linalofanya safari zake kati ya miji ya Moshi na Arusha .Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi ,Rumisha  Minja dereva  wa gari la Mtei lenye namba za usajili, T 882 CDU linalofanya safari zake kati ya Arusha na Dar  es Salaam.Askari Polisi wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini kuna hali ya sintofahamu katika mpaka wa Namanga na Holili?

Mipaka miwili ya Tanzania na Kenya eneo la Namanga na Holili imefungwa tena baada ya kuibuka hali ya sintofahamu kuhusu utekelezaji wa makubaliano yaliyowekwa kati ya nchi hizo mbili

 

10 years ago

Mwananchi

Ewura yawachanganya madereva wa malori

Dar es Salaam. Uamuzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Mafuta nchini(Ewura) kutaka kusafirisha mafuta ndani na nje ya nchi kwa kutumia mabomba na njia ya reli umewachanganya madereva wa malori nchini wanaodai kuwa utaathiri ajira zao

 

10 years ago

Habarileo

Madereva mabasi,malori watishia kugoma

MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki wawashukia madereva wa malori Tabata

Madereva kadhaa wa malori wenye tabia ya kuegesha magari yao katika Barabara ya Mandela eneo la Tabata Relini karibu na ofisi za gazeti hili, wamejikuta wakipigwa na butwaa baada ya kukamatwa na askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani na kupigwa faini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani