VODACOM TANAZANIA YAENDESHA ZOEZI LA KUWAPIMA KIWANGO CHA KILEVI MADEREVA JIJINI ARUSHA
Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi, Manase Temaeli, dereva wa gari la Machame Safari lenye namba za usajili T 742 BDE ,linalofanya safari zake kati ya miji ya Moshi na Arusha .
Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi ,Rumisha Minja dereva wa gari la Mtei lenye namba za usajili, T 882 CDU linalofanya safari zake kati ya Arusha na Dar es Salaam.
Askari Polisi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gXVQTvMNlMQ/VIKncNIsafI/AAAAAAAG1hE/bEXmt9xxmlg/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
JESHI LA POLISI-KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NA VODACOM WAENDESHA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UPIMAJI WA VILEVI MWILINI KWA MADEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gXVQTvMNlMQ/VIKncNIsafI/AAAAAAAG1hE/bEXmt9xxmlg/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7oxPj1gJLkvXz9t*CHTVLSaOTOuuNcGeKMbQ-sVahshw*BhlDcW-umtXqE1QRZOjLz5KlUkElxcopalVJyTXeG*UQ8nWWNq/001.POLISI.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI-KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NA VODACOM WAENDESHA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UPIMAJI WA VILEVI MWILINI KWA MADEREVA
5 years ago
MichuziARUSHA KUANZISHA UTARATIBU WA KUCHUKUA SAMPULI NA KUWAPIMA MADEREVA WA MALORI MPAKA WA NAMANGA
Mkoa wa Arusha umeona umuhimu wa kuanzisha utaratibu wa kuchukua sampuli na kuwapima madereva wa Malori yanayopita mpaka wa Namanga mkoani Arusha wakitokea nchi jirani ya Kenya kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19.
Mkuu wa mkoa huo Mrisho Gambo amesema kuwa Sampuli zote zinazochukuliwa na wataalam wa Afya zimekuwa zinapelekwa Maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa ajili ya kupata majibu ya vipimo husika.
Tumechukua uamuzi huu ili kuwalinda wananchi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kBRypExPEVw/Vn1in8sUGeI/AAAAAAAIOso/BYhys5HOyPg/s72-c/001.UBUNGO-MBAGALA.jpg)
ZOEZI LA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA NA ABIRIA LAZIDI KUPAMBA MOTO CHINI YA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kBRypExPEVw/Vn1in8sUGeI/AAAAAAAIOso/BYhys5HOyPg/s640/001.UBUNGO-MBAGALA.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s72-c/001.DODOMA.jpg)
MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s640/001.DODOMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOnUP-K-oYA/Vnj308eyqPI/AAAAAAAINzo/5Qi6ASs4HIU/s640/002.DODOMA.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Dec
RTO aonya matumizi ya kilevi kwa madereva
MKUU wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza, Nuru Selemani ametaka madereva wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo kutokutumia vinywaji vyenye ulevi.
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92 kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema kupitia BRN...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/132.jpg)
KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA