RTO aonya matumizi ya kilevi kwa madereva
MKUU wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza, Nuru Selemani ametaka madereva wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo kutokutumia vinywaji vyenye ulevi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s72-c/001.DODOMA.jpg)
MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s640/001.DODOMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOnUP-K-oYA/Vnj308eyqPI/AAAAAAAINzo/5Qi6ASs4HIU/s640/002.DODOMA.jpg)
10 years ago
MichuziVODACOM TANAZANIA YAENDESHA ZOEZI LA KUWAPIMA KIWANGO CHA KILEVI MADEREVA JIJINI ARUSHA
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Pinda aonya matumizi ya rushwa uchaguzi mkuu
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2015.
Waziri Mkuu Pinda ametoa onyo hilo jana alipokuwa akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5l--yQdGdxc/U9YFpiQ2GkI/AAAAAAAF7Q0/3_BjxJWq6u0/s72-c/IMG_4991.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA MATUMIZI YA RUSHWA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-5l--yQdGdxc/U9YFpiQ2GkI/AAAAAAAF7Q0/3_BjxJWq6u0/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa onyo hilo leo mchana (Jumapili, Julai 27, 2014) wakati akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza dayosisi hiyo.
“Ninawasihi...
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
PSPF watoa elimu kwa madereva taxi wa wilaya ya Ilala na madereva kujiunga na mpango wa hiari
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma akitoa maelezo ya kina kuhusu faida na huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujionga alipokuwa akiongea na madereva wa taxi wa wilaya Ilala jijini Dar
Mkuu wa Kitengo Cha Elimu wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu, Abel Swai akizungumza na madereva wa taxi wa wilaya ya Ilala(Hawapo pichani) kuhusu kutii sheria za barabarani na...
10 years ago
VijimamboMFUKO WA PENSHENI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI
10 years ago
MichuziMFUKO WA PESHNI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI
11 years ago
Habarileo16 Jun
Shisha kilevi hatari
WATUMIAJI wa kilevi cha shisha wako katika hatari kubwa ya kuugua maradhi ikiwemo saratani na kuathirika katika mfumo wa hewa . Wataalamu wa afya wameonya kwamba ulevi huo ambao kwa sasa umeshika kasi na kuteka watu wengi hasa vijana, una hatari kubwa kuliko uvutaji wa sigara.
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Kilevi:Watu zaidi ya 50 wafa Msumbiji