Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shisha kilevi hatari

WATUMIAJI wa kilevi cha shisha wako katika hatari kubwa ya kuugua maradhi ikiwemo saratani na kuathirika katika mfumo wa hewa . Wataalamu wa afya wameonya kwamba ulevi huo ambao kwa sasa umeshika kasi na kuteka watu wengi hasa vijana, una hatari kubwa kuliko uvutaji wa sigara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kilevi:Watu zaidi ya 50 wafa Msumbiji

Zaidi ya Watu 50 wapoteza maisha nchini Msumbiji baada ya kunywa kilevi kinachokisiwa kuwa na sumu

 

9 years ago

Mwananchi

Hadithi ya Nyangeche , eric., kijana, mhudumu, kilevi

Eric alianza kutweta kwa kijasho chembamba na kufanikiwa kuongea: “Nyangache … hapa ni nyumbani.  Pia kumbuka heshima na upendo wetu kwa Mungu.” Alitulia. Nilimtazama na kumshika mkono wake wa kulia na kumketisha katika kiti nami niliketi katika kiti kingine.Tulitazamana. Nilianza kuvunja ukimya na kusema: ”Najua nitakufa! Najua nitakufa!

 

10 years ago

Habarileo

RTO aonya matumizi ya kilevi kwa madereva

MKUU wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza, Nuru Selemani ametaka madereva wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo kutokutumia vinywaji vyenye ulevi.

 

9 years ago

Michuzi

MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma,SSP Nuru Selemani akiwakiwaelimisha abiria ndani ya basi lilofanya safari zake mikoani ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni ya”Wait to Send”inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto.Kampeni hiyo inadhaminiwa na Vodacom Tanzania.Askari wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma SGT. Tunu Kuta(kulia) akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva wa basi la kwenda...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali kuchunguza shisha

KATIBU Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Donan Mmbando ameitaka ofisi ya mkemia mkuu kuchunguza kilevi aina ya shisha.

 

11 years ago

TheCitizen

No ban yet on ‘shisha’ smoking, says govt

The government said yesterday that it had not banned the smoking of shisha, a fruit-scented tobacco often smoked through an ornate water pipe as a social activity.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulevi wa Shisha washika kasi

Umeibuka ulevi mpya nchini ambao umethibitika kuwateka vijana hasa wa jiji la Dar es Salaam, huku kukiwa na taarifa za kitaalamu kwamba ulevi huo una athari za kiafya kwa watumiaji.

 

11 years ago

BBCSwahili

NACADA yaharamisha ladha za Shisha

Shirika la kupambana na dawa za kulevya nchini Kenya limeharamisha ladha 19 za Shisha ikisema zinachanganywa na

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Tanzania yaharamisha Shisha

Wataalamu wanaamini kuwa uvutaji wa Shisha kwa muda wa saa moja ni sawa na kuvuta sigara miamoja ambayo inasababisha Saratani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani