Shisha kilevi hatari
WATUMIAJI wa kilevi cha shisha wako katika hatari kubwa ya kuugua maradhi ikiwemo saratani na kuathirika katika mfumo wa hewa . Wataalamu wa afya wameonya kwamba ulevi huo ambao kwa sasa umeshika kasi na kuteka watu wengi hasa vijana, una hatari kubwa kuliko uvutaji wa sigara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Kilevi:Watu zaidi ya 50 wafa Msumbiji
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hadithi ya Nyangeche , eric., kijana, mhudumu, kilevi
10 years ago
Habarileo09 Dec
RTO aonya matumizi ya kilevi kwa madereva
MKUU wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza, Nuru Selemani ametaka madereva wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo kutokutumia vinywaji vyenye ulevi.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s72-c/001.DODOMA.jpg)
MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s640/001.DODOMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOnUP-K-oYA/Vnj308eyqPI/AAAAAAAINzo/5Qi6ASs4HIU/s640/002.DODOMA.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Sep
Serikali kuchunguza shisha
KATIBU Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Donan Mmbando ameitaka ofisi ya mkemia mkuu kuchunguza kilevi aina ya shisha.
11 years ago
TheCitizen19 Jun
No ban yet on ‘shisha’ smoking, says govt
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Ulevi wa Shisha washika kasi
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
NACADA yaharamisha ladha za Shisha
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Serikali ya Tanzania yaharamisha Shisha