MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma,SSP Nuru Selemani akiwakiwaelimisha abiria ndani ya basi lilofanya safari zake mikoani ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni ya”Wait to Send”inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto.Kampeni hiyo inadhaminiwa na Vodacom Tanzania.Askari wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma SGT. Tunu Kuta(kulia) akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva wa basi la kwenda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Dec
RTO aonya matumizi ya kilevi kwa madereva
MKUU wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza, Nuru Selemani ametaka madereva wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo kutokutumia vinywaji vyenye ulevi.
10 years ago
MichuziVODACOM TANAZANIA YAENDESHA ZOEZI LA KUWAPIMA KIWANGO CHA KILEVI MADEREVA JIJINI ARUSHA
10 years ago
MichuziMadereva watakiwa kutotumia simu wakati wanaendesha vyombo vya moto
Kamanda Mpiga, alitoa wito huo leo katika hafla ya kupokea pete maalum kutoka kampuni ya Vodacom ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yake inayojulikana kama “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya magari kuacha matumizi ya simu wanapokwa...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Wenye magari washangazwa na madereva
MUUNGANO wa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji nchini, umeelezea kushangazwa na tishio la mgomo wa madereva wakati madai yao yote yamekwisha tatuliwa, ikiwa ni pamoja na kuandaliwa mikataba mipya.
10 years ago
Bongo504 May
Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)
10 years ago
MichuziKINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
11 years ago
MichuziNews Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
EXCLUSIVE: “Serikali yafuta vikwazo vyote kwa Madereva Nchini..magari yaanza safari muda huu
Waziri wa Kazi na Ajira nchini, Gaudensia Kabaka akiongea na madereva kwa kutumia kipaza sauti mapema mchana huu na kufuta baadhi ya vikwazo walivyokuwa wakivipinga madereva.
..Mgomo wadumu masaa 9..abiria waonja shubiri ya mabomu ya machozi ..Kamanda Kova, Waziri Kabaka ‘Mashujaa’ wamaliza mgomo ‘kiana’ Madereva wawasubiri Aprili 18Andrew Chale wa Modewji blog
Hali ya mambo katika ‘segere’ la Madereva Nchini la kuweka mgomo baridi la kutoingia barabarani hadi hapo madai yao ya msingi...
10 years ago
MichuziMh. Mwakwembe azindua magari 54 ya Chama cha Madereva taxi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA)