Pinda aonya matumizi ya rushwa uchaguzi mkuu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2015.
Waziri Mkuu Pinda ametoa onyo hilo jana alipokuwa akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5l--yQdGdxc/U9YFpiQ2GkI/AAAAAAAF7Q0/3_BjxJWq6u0/s72-c/IMG_4991.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA MATUMIZI YA RUSHWA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-5l--yQdGdxc/U9YFpiQ2GkI/AAAAAAAF7Q0/3_BjxJWq6u0/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa onyo hilo leo mchana (Jumapili, Julai 27, 2014) wakati akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza dayosisi hiyo.
“Ninawasihi...
5 years ago
MichuziMANGULA AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM SHINYANGA...AONYA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2020
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Waziri Mkuu Mhe. Pinda asisitiza uwazi katika matumizi ya takwimu sahihi
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akionyesha kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Takwimu (ISI) Bw. Vijay Nair na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akizindua kitabu kinachoeleza Maendeleo na historia ya Takwimu katika Bara la Afrika alichokizindua leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Rais wa Taasisi ya Kimataifa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sPZvRagUHK0/VT5XHbKBnQI/AAAAAAAHTpI/ec53E00gzeo/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPZvRagUHK0/VT5XHbKBnQI/AAAAAAAHTpI/ec53E00gzeo/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FyHLNBUlzZ0/VT5XQsMHZdI/AAAAAAAHTps/7iA6fMOsJrw/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m_3KtPFs17Q/VT5Rz39gg1I/AAAAAAAAdDg/nE_sjBEpbUQ/s72-c/Picha%2Bna%2B5.jpg)
WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-m_3KtPFs17Q/VT5Rz39gg1I/AAAAAAAAdDg/nE_sjBEpbUQ/s1600/Picha%2Bna%2B5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k4IsvpLrviY/VT5R0T6qW4I/AAAAAAAAdDk/4acV_XFu1JE/s1600/Picha%2B%2Bna%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EV4SO4PX2zs/VT5R9OTP-LI/AAAAAAAAdDw/Hkx-m8lZPpc/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z_ItzeMshcY/U2l-N5pUTNI/AAAAAAAFgAo/ChuDAnd8OyY/s72-c/download.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
HOTUBA YA WAZIRI MKUU, MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2015/2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s640/unnamed%2B(25).jpg)
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba kutokana na Taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Wenyeviti wa Kamati za Katiba, Sheria na Utawala; Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; Uchumi, Viwanda na Biashara na Kamati ya Masuala ya UKIMWI zilizochambua Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge lako sasa lipokee na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
HOTUBA YA WAZIRI MKUU, MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2015/2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s640/unnamed%2B(25).jpg)
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba kutokana na Taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Wenyeviti wa Kamati za Katiba, Sheria na Utawala; Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; Uchumi, Viwanda na Biashara na Kamati ya Masuala ya UKIMWI zilizochambua Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge lako sasa lipokee na kujadili Taarifa ya...