Trafiki wawashukia madereva wa malori Tabata
Madereva kadhaa wa malori wenye tabia ya kuegesha magari yao katika Barabara ya Mandela eneo la Tabata Relini karibu na ofisi za gazeti hili, wamejikuta wakipigwa na butwaa baada ya kukamatwa na askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani na kupigwa faini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Ewura yawachanganya madereva wa malori
10 years ago
Habarileo06 Apr
Madereva mabasi,malori watishia kugoma
MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JSt9Lq7X9rw/XuCK5RU0DNI/AAAAAAALtTc/xHzRar7eGGgEqFuxhVWqDd9IXvTqLDYyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
DKT. MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI, NAMANGA
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba.
Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Madereva wa malori wasubiri msaada wa Waziri Sitta
10 years ago
Mwananchi05 May
Madereva mabasi, malori wagoma sehemu kubwa ya Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s72-c/IMG_9452.jpg)
MADEREVA WA DALADALA,MALORI, MABASI YA MIKOANI WATAKIWA KURUDI DARASANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s1600/IMG_9452.jpg)
KIKOSI cha polisi usalama barabarani kimewataka madereva wa mabasi ,magari makubwa pamoja na daladala kwenda kusoma ili kuongeza ujuzi wa kazi zao kutokana na kuwepo kwa teknolojia za kisasa katika magari hayo.
Hayo ameyasema,Ofisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Johansen Kahatano wakati wa semina ya kuwajengea uwezo madereva katika kukabiliana na ajali za barabarani iliyofanyika jana katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Alisema...
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda
5 years ago
CCM Blog24 Apr
UGANDA YATAZAMIA KUDHIBITI CORONA KWA KUWAZUIA MADEREVA WA MALORI WA TANZANIA NA KENYA
![Malori](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/CEBA/production/_111922925_ndinga.jpg)