Madereva mabasi, malori wagoma sehemu kubwa ya Tanzania
Nchi imesimama. Hii ndiyo sentensi inayofaa kuelezea tukio la jana la mgomo wa madereva nchini kote ambao kwa mara ya kwanza ulisababisha mabasi yote kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani na nchi jirani kushindwa kuondoka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Apr
Madereva mabasi,malori watishia kugoma
MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Madereva wa mabasi wagoma
ABIRIA waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa madereva wao.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Madereva mabasi ya Uda wagoma
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s72-c/IMG_9452.jpg)
MADEREVA WA DALADALA,MALORI, MABASI YA MIKOANI WATAKIWA KURUDI DARASANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s1600/IMG_9452.jpg)
KIKOSI cha polisi usalama barabarani kimewataka madereva wa mabasi ,magari makubwa pamoja na daladala kwenda kusoma ili kuongeza ujuzi wa kazi zao kutokana na kuwepo kwa teknolojia za kisasa katika magari hayo.
Hayo ameyasema,Ofisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Johansen Kahatano wakati wa semina ya kuwajengea uwezo madereva katika kukabiliana na ajali za barabarani iliyofanyika jana katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq27a2BqoRjXNYm*7TLMlbrcrxhZBWBX7CE-QTXrr9XZMIbX6Gp5sUPkS8lUZfIdDya9itwlQxumGr6I0uVrYKTo/IMG_20141020_063403.jpg?width=650)
MADEREVA WA MABASI YA UDA WAGOMA KUINGIA KAZINI!
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2682094/highRes/989515/-/maxw/600/-/qrdi8v/-/mgomo_abiria.jpg)
Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Hekaheka: Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
5 years ago
CCM Blog24 Apr
UGANDA YATAZAMIA KUDHIBITI CORONA KWA KUWAZUIA MADEREVA WA MALORI WA TANZANIA NA KENYA
![Malori](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/CEBA/production/_111922925_ndinga.jpg)
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA