Hekaheka: Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti wa safari na usalama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2682094/highRes/989515/-/maxw/600/-/qrdi8v/-/mgomo_abiria.jpg)
Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Madereva wa Daladala Moro wagoma kwa saa saba
11 years ago
Habarileo30 Jun
Madereva wa mabasi wagoma
ABIRIA waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa madereva wao.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Madereva mabasi ya Uda wagoma
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq27a2BqoRjXNYm*7TLMlbrcrxhZBWBX7CE-QTXrr9XZMIbX6Gp5sUPkS8lUZfIdDya9itwlQxumGr6I0uVrYKTo/IMG_20141020_063403.jpg?width=650)
MADEREVA WA MABASI YA UDA WAGOMA KUINGIA KAZINI!
10 years ago
Mwananchi05 May
Madereva mabasi, malori wagoma sehemu kubwa ya Tanzania
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)