Kemikali zinazomong’onyoa tabaka la ozoni zapunguzwa
UZALISHAJI wa kemikali zinazomong’onyoa tabaka la hewa ya ozoni umepunguzwa kwa asilimia 98 duniani, imeelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
serikali yajipanga kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni nchini
Serikali kwa kupitia mkataba wa Motrial wa mwaka 1987 imejipanga thabiti katika kuhakikisha kuwa tatizo la uharibifu wa tabaka la ozini linapata suluhu Tanzania.
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Juhudi za serikali kukabili kuharibika kwa tabaka la ozoni
TABAKA la Ozoni ni mlinzi wa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Tabaka hili ni kama blanketi au mwavuli kati ya jua na uso wa dunia ambalo hutukinga...
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Shimo kubwa kuwahi kutokea katika tabaka la ozoni la Arctic lajifunga
Shimo hilo la ajabu limejifunga mwezi mmoja baada ya kugunduliwa
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?
Tukio kama hili ni la kawaida katika eneo la kusini zaidi la dunia la Antarctic wakati wa msimu wa joto, lakini katika eneo la baridi la kaskazini si la kawaida.
11 years ago
Michuzi11 Mar
elimu kwa umma juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi ili kulinda tabaka la Ozoni.



11 years ago
Michuzi.jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
.jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kodi, ada za ardhi zapunguzwa
SERIKALI imepunguza viwango vya kodi, ada na tozo mbalimbali za ardhi ili kuzifanya ziwe rafiki zaidi kwa wananchi.
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tabaka Twawala Richard Mabala
Sijui kama ni kweli au ni uzushi tu, maana siku hizi stori zaibuka na kububujika bila hata uchunguzi wa kina kujua iwapo ni kweli au la. Lakini kama walivyosema wahenga; palipo na moshi wapo ambao wanataka kuwasha moto.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania