Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Makocha watakiwa kufundisha soka

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Watanzania hawana imani na waganga wa jadi?

Kila baada ya hatua chache katika majiji makubwa kama Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Tanga, si ajabu kukutana na mabango ya biashara ya kutibu nguvu za kiume, kukuza sehemu za uume, kuongeza makalio, akili za darasani, nyota ya maisha na magonjwa ya zinaa.

 

9 years ago

Habarileo

Mkufunzi soka la ufukweni ateta na makocha, waamuzi

MKUFUNZI wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wa Soka la Ufukweni, Twalib Hilal amekutana na makocha, waamuzi wa mchezo wa ufukweni waliopo jijii Dar es Salaam ili kubadilishana.

 

11 years ago

Mwananchi

Tutaendelea kufukuza makocha kama ‘inzi’

Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali, pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na umoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.

 

10 years ago

Vijimambo

KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?

Kuna watu ambao wanapata mafanikio makubwa kwa kutumia uchawi. Ila mafanikio yale hayaletwi na uchawi bali imani ya mtu husika. 
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

kuna nini Tanzania mwaka huu

Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]

The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je kuna nini kilomita 5 chini ya bahari ?

Wanasayansi wa Uingereza wanapanga kuchimba takriban kilomita 5 chini ya bahari Hindi ilikubaini kunani chini ya sakafu

 

11 years ago

GPL

OYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?

Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuna nini baadhi ya shule zimefaulisha, zimefelisha?

Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Francis iliyo mkoani Mbeya, ndiyo shule iliyoshika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfululizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani