Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutaendelea kufukuza makocha kama ‘inzi’

Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali, pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na umoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataalam wajadili kukabiliana na inzi muharibifu

WATAALAMU wa kilimo wamekutana jijini Tanga na kujadiliana namna ya kukabiliana na inzi muharibifu wa mazao ya matunda na mbogamboga ambaye huchangia kushuka kwa uchumi wa jiji hilo. Akielezea hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Inzi dukani na uchapa kazi wa wasomali ughaibuni...

Inzi ni mdudu aliyezoeleka nyumbani Afrika kutokana na hali ya joto kali.

 

11 years ago

Mwananchi

DC apinga Meya kufukuza mgambo

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongela, amepinga agizo la Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe la kutaka kufukuzwa kazi askari wa mgambo ambao baadhi yao walimpiga.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ommy Dimpoz: Inzi Kufa Kwenye Kidonda Sio Ufala....

Japokuwa bado kuna baadhi ya watu hawaamini kuwa mwigizaji Wema Sepetu yupo kwenye mahusiano ya kimapezi na mwanamziki Ommy Dimpoz, eti wana-shoot video!!, sasa ukweli unazidi kujitokeza siku hadi siku.

Siku ya jana msanii Ommy Dimpoz alitupia picha hiyo hapo juu kwenye ukursa wake  kwenye mtandao wa Instagram, na kuandika kipande cha maneno kutoka kwenye moja ya nyimbo za Yamoto Band.

“Inzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kapenda......”

Haikuishia hapo, muda kidogo akatupia kipande...

 

11 years ago

Habarileo

Si kazi ya Kamati Kuu kufukuza mawaziri-JK

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshikilia nembo ya chama hicho jana baada ya kuwasili Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kuhutubia kilele cha maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa CCM. (Picha na Ikulu).HATUA ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwahoji mawaziri wake, imefafanuliwa kwamba haikumaanisha kuwafukuza kazi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Kipini Puani Kimenijazi Inzi Mtandaoni, Wakati Kinaniingizia Hela!

Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameyasema hayo baada ya hapo jana baadhi ya mashabiki mtandaoni  kumshambulia mara baada ya kubandika picha akiwa na kipini puani.

“Ewe kipini....kipini kipuli kipuli...kiheren kihereni umenijazia inzi kwenye akauni yangu yangu lakini kipini nivumilie nimalize hii Movie na we utapumzika lakini kipini nilivyokuhusudu naunaendana na kabila la Mama yangu upande wa bibi mza mama Masai basi nitakufkria eidha uwe ndonya yangu yakudumu au nitakutoa lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani