Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC apinga Meya kufukuza mgambo

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongela, amepinga agizo la Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe la kutaka kufukuzwa kazi askari wa mgambo ambao baadhi yao walimpiga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Meya, Diwani wachapwa vibao na mgambo Arusha

NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelosi, Ephata Nanyaro (wote CHADEMA), wamepigwa na kujeruhiwa na askari wa jiji (mgambo). Kutokana na tukio hilo,...

 

11 years ago

Habarileo

Meya Chadema amdunda mgambo wa kike Arusha

NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe, anadaiwa kumpiga mgambo wa kike na kusababisha alazwe katika Hospitali ya Levolosi.

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi cheti cha Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la Afrika Kundi la Majiji ya Kati (Medium Size Cities) kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda katika hafla iliyo zilizotolewa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (UCLGA), Dar es Salaam jana.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi Tuzo ya Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya Meya Bora Tanzania kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kushinda tuzo hiyo kitaifa iliyoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri.Rais Jakaya Kikwete akizungumza baada ya kukabidhi Tuzo ya Meya Bora Tanzania, Yusuph Mwenda (kulia) baada ya kushinda tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA MWENDA WA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA

Na Mwandishi Maalum, Dar es Salaam
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda ameshinda Tuzo ya Meya Bora katika Bara la Afrika katika kundi la Majiji ya Kati na kuyabwaga majiji mengine mbalimbali.
Tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (The United Cities and Local Government of Africa- UCLGA) na kupewa jina la Rais wa Angola ‘President Jose Eduardo Dos Santos- Africa Mayors Award’ ni za mara ya kwanza kufanyika Barani Afrika.
Tofauti na Tuzo za Tanzania,...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida

IMG_1325

Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.

IMG_1287

Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...

 

11 years ago

Habarileo

Si kazi ya Kamati Kuu kufukuza mawaziri-JK

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshikilia nembo ya chama hicho jana baada ya kuwasili Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kuhutubia kilele cha maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa CCM. (Picha na Ikulu).HATUA ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwahoji mawaziri wake, imefafanuliwa kwamba haikumaanisha kuwafukuza kazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tutaendelea kufukuza makocha kama ‘inzi’

Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali, pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na umoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani