CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida
Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.
Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...
10 years ago
Habarileo01 Nov
Meya atabiri CCM kuzoa viti vingi serikali za mitaa
MEYA wa Manispaa ya Ilemela, Henry Matata amekitabiria Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu baada ya wananchi kubaini viongozi waliowaweka katika uchaguzi uliopita hawawajibiki ipasavyo.
10 years ago
MichuziMSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI ZAWADI ZA PASAKA KWA YATIMA
Akikabidhi msaada huo Meya Yusuph Mwenda aliwataka watanzania kuwa na moyo wa kusaidia watoto hao hususan katika msimu wa Sikukuu ikiwa ni njia mojawapo ya kuwafariji watoto hao.
“Hakuna anayependa kuona watoto hawa wanaongezeka mitaani, Na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA APIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI YA VINGUNGUTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eq33nenT5_U/XuBeGwyUPkI/AAAAAAALtRs/OgiCvpm4l9IhbySEQHe8pyJ4txCfHFXvACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.52%2BAM.jpeg)
Lengo la ziara hiyo ni kukagua Ujenzi wa Madarasa Manne yanajengwa katika shule hiyo. Mstahiki aliwapongeza Walimu wa Shule hiyo ya Sekondari Vingunguti kwa usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa hayo manne.
Uongozi wa Shule hiyo ulimpongeza Mstahiki...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Foa8bsaPWrQ/U870Y9XN4xI/AAAAAAAF47Q/KNu3tI2d8Og/s72-c/a1.jpg)
Mstahiki Meya wa Ilala Mhe Jerry Slaa aanda futari kwa wadau mbalimbali
![](http://1.bp.blogspot.com/-Foa8bsaPWrQ/U870Y9XN4xI/AAAAAAAF47Q/KNu3tI2d8Og/s1600/a1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dn-u-fwhu_U/U870ZSSE-jI/AAAAAAAF47U/FtjikgVw4ks/s1600/a12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Joctej8UB2s/U870aYrNwRI/AAAAAAAF47c/BX-lCqqyndU/s1600/a14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wbSPRTktoB0/U870d_Si6CI/AAAAAAAF47o/j8l6Rf2LKFg/s1600/a15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPuAayWQ5U/U870gkvrPqI/AAAAAAAF47w/bqppbdy4-Ns/s1600/a17.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mstahiki Meya wa Ilala Jerry Silaa ashusha neema kwa shule ya msingi Kivuleâ€â€Ž
Meza kuu ikiwa imepambwa na viongozi mbalimbali kwaajili ya kupokea msaada wa madawati.
Meya wa manispaa ya Ilala Jerry silaa akabidhi msaada wa madawati mia moja katika shule ya msingi kivule iliyopo jijini dar es salaam ikiwa ni mpango aliouanzisha na kuanza kuutekeleza kupitia (Mayors Ball) katika mpango huo madawati hayo yamekabidhiwa kwa mwalimu mkuu wa shue hiyo pamoja na diwani wa kata ya kivule na afisa elimu wa manispaa ya ilala walikuwepo katika shuguli hiyo ya kupokea msaada...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s72-c/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
news alert: hackers waiba akaunti ya facebook ya meya wa ilala Mstahiki Jerry Silaa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s1600/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa. Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Asanteni sana - Jerry Silaa
10 years ago
GPLMSTAHIKI MEYA WA ILALA JERRY SILAA ASHUSHA NEEMA KWA SHULE YA MSINGI KIVULE